Naton Jr
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 7,866
- 19,252
Halafu hapo hata bado sijaweka miji yote ya kawaida Tanzania, bado zipo towns ambazo nikiziweka hapa watakimbia JF one-wayHii walishashindwa toka jana. Lakini huwa ni wagumu kukubali
Uzuri yule kiongozi wao kashasoma game ya Musoma na Lindi toka jana a kaamua kuipotezea hii battle sababu aliona Kenya inaenda kuwa kituko live live 😅😅😅