COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Official ni USD $6b ...nategea photo bana??????Kama unayo official source leta kama huna basi piga kimya tu
Official ni USD $6b ...nategea photo bana??????Kama unayo official source leta kama huna basi piga kimya tu
Tuma ka photoMbona kilio sasa😀😀😀😀😀
apa pia kuna rumour ya Rihanna na Nikki Minaj kupiga show huku lakini tumetulia tu kama maji ya mtungi!there is a rumor that fc barcelona's forward player,neymar da silva santos is coming to tanzania for a vacation.
wakenya ombeni hii habari ibaki kuwa tetesi isiwe kweli.
wallah ikiwa kweli,tutawa-troll mpaka mtakasirika.round hii mtajibeba
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mzae yani mmekosa chakushow mnaongoza EA hadi mkamuulia screenCollo ka waulize superbrands hizo inch ..ila kilichoandikwa ndo hiko![]()

I can see unga pembe which is our productUnga zimejaza shelves.....njaa ni nyinyi
![]()
![]()
Alafu 19000 sq metres ni kidogo sana at a top 20 kenya haitamakeCollo ka waulize superbrands hizo inch ..ila kilichoandikwa ndo hiko![]()
neymar yupo vacation Zimbabwe, but kuna tetesi his next destination after Zimbabwe is tanzania.Rumour?? Don't u have screen shots for that rumour? ....ata mungu akuje Tanzania Leo you're still behind ke
who is the fool here????you just posted something saying the total cement production of tanzania is 1.6 million tonnes and here you are again saying dangote ana produce 3 million tonnes peke yake.Yani kile unachoongea inaonesha jinsi gani bado Akili yako ndogo sana
Dangote pekeake tanzania ana produce 3 million per year
We unatuletea porojo gani?????😀😀😀😀
Soma hapo uone full production ya dangote pekeake itakwenda mpaka 6 million annually
Dangote Cement, Tanzania government haggle over price of natural gas - Premium Times Nigeria
Weka pembeni viwanda vingine vyote
Tanzania would account for all the new capacity pushing the country’s total installed capacity to 9.4 million tonnes per annum.
Ichoboy and kadoda I need only dar one photo with equivalence to this ones![]()
![]()
![]()
kila la heri ktk hilo but tofautisha mtu anayekuja nchini kwako kwa vacation na yule anayekuja kufanya kazi ya kutumbuiza majukwaani.apa pia kuna rumour ya Rihanna na Nikki Minaj kupiga show huku lakini tumetulia tu kama maji ya mtungi!
punguza mbwembwe

Pata picha hotel yenye kipindupindu ni ya "Ruto Singh" hachelewi kudai NASA wanahusika..wakenya leo mmepatwa na nini,mbona hampo speed kupost kama juzi na jana?.....najua mnaniogopa,msiniogope.
siku nisipokuwa active kwa hii thread huwa mnamuonea sana comrade wangu ichoboy01 .leo nipo active mnapost kwa uoga.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()