Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe hizi dormitories mnazipenda tu shida ni ushabiki 😂 😂 😂
I thought domirtories are only found in Nairobi!!
Haya maeneo yalishajengeka toka 1940's, kipindi kile population ilikuwa 50,000... sasa hivi ni six million. Ndiyo sababu ya kujenga haya maghorofa.
 
Tanzanias boarder town of Namanga 🇹🇿🇹🇿

EoEBc-nW4AECaHv.jpg
 
Mngekuwa mna plan nzuri hapo kati mngeweka space kubwa kwa ajili ya BRT ila kila siku huwa nasema nyie ni watu wa kukurupuka!
Suggestion nzuri lakini hii sio government project. Hii ni private project. Investor ndiye anaamua mambo hayo.
 
Suggestion nzuri lakini hii sio government project. Hii ni private project. Investor ndiye anaamua mambo hayo.
ndo mnapokosea kwa hiyo kama anaamua hamuwezi kum-convince aaache enough corridor hamuwezi kuweka some city planning laws kama hizo! ndo maana nimekuambia hii project will not renders intended results kwanza ilipaswa kuwa metroline on top n then BRT bus line below!
 
do mnapokosea kwa hiyo kama anaamua hamuwezi kum-convince aaache enough corridor hamuwezi kuweka some city planning laws kama hizo! ndo maana nimekuambia hii project will not renders intended results kwanza ilipaswa kuwa metroline on top n then BRT bus line below!
Anataka magari yaongezeke barabarani ndio arudishe pesa yake haraka. Metro na Brt zitareduce traffic maana Wakenya watawacha kununua magari na kupanda metro. Au watawacha magari nyumbani na kupanda metro. Hivi unadhani huyu investor ni mjinga?
 
Back
Top Bottom