Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna mtu anadanganya kama Magufuli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]. Huyu ameshinda hadi conmen kwa uongo.
According to u lakini wanauchumi wenu wote wanajua magufuli anafanya kazi gani 😅😅😅😅 hata corona alidanganya leo hii anaonekana anaakili kuliko mtu yoyote duniani
 
Hata huyu alietoka ghana pia aliona au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] imekua failed kisa kenya wameshindwa wamehangaika weee
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]View attachment 1638921
12585938_brtpic_jpege4165b1577a261f6e62b20ff04f5d701.jpeg
 
Sisi tutajenga BRT imewatokea makalioni mulijua BRT ni sawa na kukuna nazi tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Miaka mitatu munaimba BRT


View attachment 1638930View attachment 1638931View attachment 1638932View attachment 1638933View attachment 1638934View attachment 1638935View attachment 1638936View attachment 1638937View attachment 1638938
Kwa kweli umeumia[emoji23][emoji23][emoji23] Picha yangu moja unareply kwa kutumia picha ishirini just to make your point[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
FB_IMG_16064959610248730.jpeg
 
Back
Top Bottom