Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tulizuia mradi kutokana na masharti ya mwekezaji mpaka pale masharti yatakapokaa sawa 😅😅😅😅 na mradi unajulikana ulismamishwa na magufuli
Pesa ndio hamna. Vijisababu acheni nazo
 
Ok, acha leo niseme ukweli. Do you know the person known as Maina Njuguna? Huyo ndio kusema hapo Palm Village Tower
Work permit yake inaisha lini?sahv mnarudishwa sana home,nafaham jamaa mmoja alikua Pathologist mahali work permit yake imeisha wamemkatalia ku-renew...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Serikali yenu haiezithubutu kumfukuza Tanzania juu ya taxes wanapata kutoka kwake. Are you aware that akitoka atatoka na company yake and that will be a big loss to your government as far as taxes are concerned? He is the owner of Ivory Tower real estate services.
Sasa unataka abaki kwenye nchi ambayo watu wake wanadondoka barabarani kwa Corona, hamuogopi?, tunawasaidia kwa kuwarudisha kwao ili tusiwaambukize Corona
 
Alafu hawa nyumbu wanatabia moja chafu sana yakuchomeana kazi...uko kwao mtu akijua mko nae ofisini alafu unakamradi kako ka pembeni anachoma kwa boss...Nilikua nawaona wajanja kumbe Mnaujinga sana
 
Kiukweli majirani zetu hampendi kushindwa Tanzania ya sasa sio Ile ya zamani daaah Ila kwa ubishi ndo huaga mnatuacha hoi 😂😂😂😂😂😂lakini tunawapenda our neighbors,naomba mnikaribishe getheri,na mutura
 
The Capital.
IMG_20201201_090331.jpeg
IMG_20201201_090336.jpeg
 
Back
Top Bottom