Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Temeke is the most unplanned Dar's district lakini it's still looking gorgeous

Flyovers na BRT zinainogesha Temeke

Screenshot_20201129-225226.png
Screenshot_20201129-225250.png
Screenshot_20201129-225313.png
Screenshot_20201129-225348.png
Screenshot_20201129-225406.png
Screenshot_20201129-225455.png
Screenshot_20201129-225522.png
Screenshot_20201129-225543.png
Screenshot_20201129-225603.png
 
Alafu mnapita Kenya?
Mutabakia na ile kitu inaitwa debt to GDP ratio ndio maana leo hata kujenga miundombinu kwa kutumia pesa zenu hamuna mumebakia kuuza nchi taratibu kwa mchina na mchina alivo mtamu anachukua anaweka waaaaa
 
Ahead because they die of Covid- 19 while Tanzania we defeated Corona?. This type of reasoning is the reason why many Kenyans are dying of hunger during this century of advanced science and technology. While other countries are planning to advance in technology, you are struggling to get enough food.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwa hivyo "kutokuwa na corona" is the measure of development in Tanzania nowadays? Mbona umelemazwa akili na uzalendo za kijinga? Niambie Tanzania inashinda Angola au Misri kwa lipi ikija masuala ya maendeleo
 
Kwa hivyo "kutokuwa na corona" is the measure of development in Tanzania nowadays? Mbona umelemazwa akili na uzalendo za kijinga? Niambie Tanzania inashinda Angola au Misri kwa lipi ikija masuala ya maendeleo
Kwanza lazima utaje maendeleo ninini?, ujinga ni pale unapofikiria kuwa na "Malls" kubwa au majumba marefu mijini ndio maendeleo wakati wananchi wengi wanaishi katika slums, hawana ajira, hawana chakula cha kutosha, hawapati maji safi na salama, hawana amani, wanasumbuliwa na majambazi na majizi mitaani kwao, hawana uwezo wa kudumu gharama za matibabu.

Tanzania imezidi Angola kwa mbali sana katika hayo niliyotaja, watanzania wengi wanaishi maisha mazuri sana ulilinganisha na wakenya wengi, waangola na Waafrika kusini(blacks). Ujinga wenu ni kushughulika kujenga bara bara na majengo marefu Nairobi wakati hata maji ya kutumia ni shida bado mnakufa kwa kipindupindu lakini mnahisi hayo ndio maendeleo.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza lazima utaje maendeleo ninini?, ujinga ni pale unapofikiria kuwa na "Malls" kubwa au majumba marefu mijini ndio maendeleo wakati wananchi wengi wanaishi katika slums, hawana ajira, hawana chakula cha kutosha, hawapati maji safi na salama, hawana amani, wanasumbuliwa na majambazi na majizi mitaani kwao, hawana uwezo wa kudumu gharama za matibabu.

Tanzania imezidi Angola kwa mbali sana katika hayo niliyotaja, watanzania wengi wanaishi maisha mazuri sana ulilinganisha na wakenya wengi, waangola na Waafrika kusini(blacks). Ujinga wenu ni kushughulika kujenga bara bara na majengo marefu Nairobi wakati hata maji ya kutumia ni shida bado mnakufa kwa kipindupindu lakini mnahisi hayo ndio maendeleo.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
mkuu naomba uelewe; kenya ni nchi ya wachache tena wazungu na familia chache zilizobahatika kupora rasilimali nyingi za kenya, hao wa kibera sijui kariobangi ni sawa na wanyama tu na ndiyo maana kila kitu kipo concentrated pale nairobi walipo wazungu. Mbaya zaidi wakenya hawaliewi hili, wamelala fofofo wakipumbazwa na nairobi express way na gdp isiyo na maana yeyote kwa nyangau wanaojifia kwa kukosa chakula na maji kila siku. THIS IS REAL A FAILED STATE. NI AIBU KUPAKANA NA HII NCHI.
 
Kwa hivyo "kutokuwa na corona" is the measure of development in Tanzania nowadays? Mbona umelemazwa akili na uzalendo za kijinga? Niambie Tanzania inashinda Angola au Misri kwa lipi ikija masuala ya maendeleo
Sasa kama hakuna corona ulitaka tuseme corona ipo??? Au kwa vile kwenu ipo basi na sisi tuwe nayo kwa lazima 😅😅😅 yani katika hua nawaona wanamawazo yakimaskini ww ni number moja kwakua jirani yako anakula vzr ww unataka kwenda kuroga
 
Back
Top Bottom