ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hio GDP wanaoyisifia hapa kwa sasa inajinyea 😅😅😅 hayo majumba marefu yenyewe ni yakuhesabu bado wanataka kujifananisha na japan eti kwasababu wana deni kubwa na wao ni hvo hvo, lazima itakua laana hiomkuu naomba uelewe; kenya ni nchi ya wachache tena wazungu na familia chache zilizobahatika kupora rasilimali nyingi za kenya, hao wa kibera sijui kariobangi ni sawa na wanyama tu na ndiyo maana kila kitu kipo concentrated pale nairobi walipo wazungu. Mbaya zaidi wakenya hawaliewi hili, wamelala fofofo wakipumbazwa na nairobi express way na gdp isiyo na maana yeyote kwa nyangau wanaojifia kwa kukosa chakula na maji kila siku. THIS IS REAL A FAILED STATE. NI AIBU KUPAKANA NA HII NCHI.






