Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,955
Hiyo revenue si ingewaweka juu ya KenyaTushaelewana kwenye revenue sasa


Hiyo revenue si ingewaweka juu ya KenyaTushaelewana kwenye revenue sasa


Hesabu ni kwamba tanzani inaingiza 1b usd more than kenya 😅😅😅😅 happy nowMtu hajui hesabu![]()
Amebakia kurusha ngumi za hewani na matumaini mengi 😅😅😅😅But tunaingiza mapato mara2yenu
Thanks for accepting that Kenya is the best tourist destinationIla we jamaa. Mbishi sana tunakubali ni kweli watu wengi wanakuja kwenu kwa sababu you are cheap



Lete Kenya revenue in US dollarsMtu hajui hesabu![]()
Kwani hile enye niliweka hapa ilikuwa ya Zimbabwean dollars?Lete Kenya revenue in US dollars



Nani anaingiza hela nyingi Kati yakenya na tz?sisi tunawaza 5b us dollarKwani hile enye niliweka hapa ulikuwa ya Zimbabwean dollars?![]()
Gani ni best tourist destination kati ya Kenya na Tz?Nani anaingiza hela nyingi Kati yakenya na tz?sisi tunawaza 5b us dollar


Is that two times?![]()

ukichukua hiyo ya uganda mara mbili yake ndo inakaribia ya kwetu na change inabaki.. sasa nyie hata kwenye list hampo..
next.. hata ukichukua ya zambia mara tatu yake ndo inakaribia ya kwetu na change inabaki.. sasa jiulize yenu huko ilipo si itakuwa mara nne yake!!?
Tanzania kwa sababu waakuja watu wenye helaGani ni best tourist destination kati ya Kenya na Tz?![]()
Tourism kazi yake ni kuingiza ni kuingiza mapatoGani ni best tourist destination kati ya Kenya na Tz?![]()


Tanzania kwa sababu waakuja watu wenye hela
Tz tungepata hao 2.5M tourist revenue ingekua $5B nashuku uko kwenu kila kitu ni cheapWith 1.5m visitors against 2.5m visitors za Kenya?![]()



they come to Kenya to look at these for tourism View attachment 1636873
View attachment 1636871View attachment 1636872
Sisi tunatajwa na fobes
Mtu amekasirika![]()