ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Wamekwisha mchina tayar kashafanya ile kazi sasa anaikamilisha tu 😅😅😅😅😅Hivi wakenya wanafeli wapi[emoji23][emoji23][emoji23]...embu wamfuate Halima Mdee awape mbinu za kumzunguka Uhuru akiamka anakuta Raisi mwengine anaapishwa[emoji1787][emoji1787].
Ila hawa jamaa wanaenda kushika mkia kwnye economic development in few years to come..Mark my words