Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Healthcare systems?????..hivi we unajielewa kweli?!!!..hiyo kunya yako ina healthcare system bora kuliko states??!!..mbona yenyewe states iko na wagonjwa wengi mara nne ya kenya?!!..mbona rwanda iko na wagonjwa wachache kuliko italy,kwa hiyo rwanda ina healthcare system bora kuzidi italy??!..vitu vingine ni vidogo tu wala huitaji kutumia nguvu nyingi,ukitumia rungu kuua sisimizi utaumia mwenyewe,covid haihitaji kuwa na healthcare system bora ili uweze kui-control,ni akili ya utambuzi tu kutambua covid ni ugonjwa wa aina gani,umetokeaje,na kwa misingi ipi,kama ingekuwa healthcare system ndo inaamua athari za corona,ni wazi kabisa africa hadi wakati huu kusingebaki hata mtu mmoja!!!..mimi na watanzania wenzangu tungekuwa marehemu zamani sana...najua hapa utakataa,ila unaelewa moyoni mwako,kwa kuwa hamjitambui na si muda mrefu tutaleta vaccine hapo tuje tuwafanyie majaribio kwa sababu ninyi si watu na hamna faida yoyote,hata majaribio yakienda vibaya mkifa hakutakuwa na hasara
Unapojadili mambo kama haya hauhitaji kujadili kutumia hisia. Unaposema mbona USA iko na idadi mara nne ya wagonjwa nchini Kenya umejiuliza population ya USA ni ngapi? How can you compare a country with over 200 million people with a country of just over 50 million people? The dynamics are not the same. Hata hiyo Rwanda na Italy, do they have the same population?

The thing is, nchi inakuwa na wagonjwa wengi au wachache kulingana na idadi ya watu waliyoko kwenye nchi husika so your argument doesn't hold any water. Ni kweli USA iko na wagonjwa wengi mara nne ya Kenya kwa sababu the total number of people in USA pia ni mara nne ya Kenya. Vitu vingine ni kutumia tu akil.

Halafu bara la Africa kutoathirika zaidi is a question of hardened immunity na pia kuna baadhi ya nchi ambazo hazijaweka data zao wazi kuhusu huu ugonjwa, Tanzania ikiwa moja yao
 
Unapojadili mambo kama haya hauhitaji kujadili kutumia hisia. Unaposema mbona USA iko na idadi mara nne ya wagonjwa nchini Kenya umejiuliza population ya USA ni ngapi? How can you compare a country with over 200 million people with a country of just over 50 million people? The dynamics are not the same. Hata hiyo Rwanda na Italy, do they have the same population?

The thing is, nchi inakuwa na wagonjwa wengi au wachache kulingana na idadi ya watu waliyoko kwenye nchi husika so your argument doesn't hold any water. Ni kweli USA iko na wagonjwa wengi mara nne ya Kenya kwa sababu the total number of people in USA pia ni mara nne ya Kenya. Vitu vingine ni kutumia tu akil.

Halafu bara la Africa kutoathirika zaidi is a question of hardened immunity na pia kuna baadhi ya nchi ambazo hazijaweka data zao wazi kuhusu huu ugonjwa, Tanzania ikiwa moja yao

Unapojadili mambo kama haya hauhitaji kujadili kutumia hisia. Unaposema mbona USA iko na idadi mara nne ya wagonjwa nchini Kenya umejiuliza population ya USA ni ngapi? How can you compare a country with over 200 million people with a country of just over 50 million people? The dynamics are not the same. Hata hiyo Rwanda na Italy, do they have the same population?

The thing is, nchi inakuwa na wagonjwa wengi au wachache kulingana na idadi ya watu waliyoko kwenye nchi husika so your argument doesn't hold any water. Ni kweli USA iko na wagonjwa wengi mara nne ya Kenya kwa sababu the total number of people in USA pia ni mara nne ya Kenya. Vitu vingine ni kutumia tu akil.

Halafu bara la Africa kutoathirika zaidi is a question of hardened immunity na pia kuna baadhi ya nchi ambazo hazijaweka data zao wazi kuhusu huu ugonjwa, Tanzania ikiwa moja yao
We kajamaa sijui ulisoma shule gani,unasema nchi inakuwa na wagonjwa wachache au wengi kulingana na population ya nchi husika!??..USA ina population almost 330 mil huku india iko na billion 1 ushee lakini wagonjwa hawajafika hata 10 mill huku states ikiwa na zaidi ya 20 million,usivyovijua ni vingi sasa umebadili gia angani sasa hivi umesema immunity na si healthcare system..yaani wewe kazi yako ni kuhisihisi tu bado covid hujaielewa na huku ipo zaidi ya miezi 5 sasa..
 
😂😂😂😂 sisi tuna ushuzi wa GDP


I know you don't know the reason behind this,Kenyans are embrasing to green energy as their source electricity, solar power are being installed by many companies and households ditching power from kplc
 
Unapojadili mambo kama haya hauhitaji kujadili kutumia hisia. Unaposema mbona USA iko na idadi mara nne ya wagonjwa nchini Kenya umejiuliza population ya USA ni ngapi? How can you compare a country with over 200 million people with a country of just over 50 million people? The dynamics are not the same. Hata hiyo Rwanda na Italy, do they have the same population?

The thing is, nchi inakuwa na wagonjwa wengi au wachache kulingana na idadi ya watu waliyoko kwenye nchi husika so your argument doesn't hold any water. Ni kweli USA iko na wagonjwa wengi mara nne ya Kenya kwa sababu the total number of people in USA pia ni mara nne ya Kenya. Vitu vingine ni kutumia tu akil.

Halafu bara la Africa kutoathirika zaidi is a question of hardened immunity na pia kuna baadhi ya nchi ambazo hazijaweka data zao wazi kuhusu huu ugonjwa, Tanzania ikiwa moja yao

itoshe kusema upumbavu wako nicxie ni premium.

kwahiyo hapa ratio kati yenu na US ikoje sasa kwenye idadi ya maambukizi???

nyinyi mko watu 50mln wagonjwa 40k
US wako 300mln wagonjwa 20mln,bado unataka kukumbatia ujinga???
 
After zooming ni matapishiView attachment 1632069
Ungelizomm hivi kabisaama nikuletee video
images.jpeg-37.jpg
images.jpeg-38.jpg


Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
We kajamaa sijui ulisoma shule gani,unasema nchi inakuwa na wagonjwa wachache au wengi kulingana na population ya nchi husika!??..USA ina population almost 330 mil huku india iko na billion 1 ushee lakini wagonjwa hawajafika hata 10 mill huku states ikiwa na zaidi ya 20 million,usivyovijua ni vingi sasa umebadili gia angani sasa hivi umesema immunity na si healthcare system..yaani wewe kazi yako ni kuhisihisi tu bado covid hujaielewa na huku ipo zaidi ya miezi 5 sasa..
Unajifanya mwelewa ila hakuna unachoelewa kaka. Nazungumzia immunity for very obvious reasons unless you want me to expound on that. Sibadilishi gear or anything but I am just trying to pump some sense into your head. What am saying is that immunity is one of the major reasons why Africa is reporting fewer cases than the rest of the world. That doesn't change the fact that African countries, Kenya and Tanzania included, have poor healthcare systems. If it wasn't for hardened immunity, Africa tungekufa kama nzi considering the nature of our healthcare system. Hardened immunity however, should not mean that good healthcare system has no role to play in combating covid.
 
itoshe kusema upumbavu wako nicxie ni premium.

kwahiyo hapa ratio kati yenu na US ikoje sasa kwenye idadi ya maambukizi???

nyinyi mko watu 50mln wagonjwa 40k
US wako 300mln wagonjwa 20mln,bado unataka kukumbatia ujinga???
Hilo swali muulize mwenzako aliyesema idadi ya maambukizi USA ni mara nne ya idadi ya maambukizi Kenya. Hayo yalikuwa ni maneno ya huyo mwerevu mwenzako wala sio yangu
 
Back
Top Bottom