Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Makasiriko ya nini?
Kwani ni Tanzania ndio imeleta corona kunyaland!
Juzi nilikuambua uthibitishe kuwa Tanzania kuna corona,
Na mimi nitathibitisha kuwa Tanzania hakuna corona kwa kutumia vithibitisho hai lakini hadi leo hii hujathibitisha kumaanisha kuwa ulikuwa unabwabwaja tu ovyo.
Cc The best 007
View attachment 1630569