Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

LOL sasa utafananisha coverage ya free Wi-Fi ya Marekani na Kenya ya kwenye restaurants? [emoji28][emoji28][emoji28]
Umekuja kw coverage tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Still internet marekani ni expensive kuliko kenya na south africa..

Au unataka kusema wanakwepa bills ndio wakalipie za free kw restaurants.
Naona umekosa hoja sasa baada ya kukuuumbua
 
Umekuja kw coverage tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Still internet marekani ni expensive kuliko kenya na south africa..

Au unataka kusema wanakwepa bills ndio wakalipie za free kw restaurants.
Naona umekosa hoja sasa baada ya kukuuumbua
Ni jambo la kawaida kudrive us kwa google navigator plus apps nyingine kwa free Wi-Fi all way long, states Wi-Fi is one of the free welfare services kwenye parks and everywhere 😅😅
 
Hapa tunaongelea km linafaa sehemu linatumika au la km ulivyomwambia mwenzako..
Aisee ni kuonesha kutahamaki, enyewe ni neno lenye maana nyingine tofauti na matumizi mnayokusudia ninyi ambayo haimake sense, huwezi kupachika tu neno kwenye maongezi from nowhere ambalo halina context na unachozungumza lazima utaonekana hazimo
 
Na hii footbridge ndo inakamilika hivyo

Mbezi Foot Bridge.png
 
Wakenya mnavyosema neno 'enyewe' in which most of the time you use it is absolute grammatically irrelevant mnasound like lunatics

Unasemaje enyewe sehemu ambapo halihitajiki na halimake sense? Sounds like a certain dunderhead kid trying to construct sentences though in a dumbest manner, horrible 😢😥🙁🤔
Unajaribu kumrekebisha wakati wewe mwenyewe kizungu yako inatia huruma while doing that
 
Aisee ni kuonesha kutahamaki, enyewe ni neno lenye maana nyingine tofauti na matumizi mnayokusudia ninyi ambayo haimake sense, huwezi kupachika tu neno kwenye maongezi from nowhere ambalo halina context na unachozungumza lazima utaonekana hazimo
Naona umejijibu vizuri[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Unajaribu kumrekebisha wakati wewe mwenyewe kizungu yako inatia huruma while doing that
Hicho ni kiingereza sio kizungu, mzungu ni race sio nationality we bwege, wapo wazungu chungu mzima hawaongei wala hawajui kiingereza, ni sawa ukiite kiswahili, kiafrika 😥😢 you sound lunatic as saying 'enyewe'
 
Umekuja kw coverage tena[emoji23][emoji23][emoji23]
Still internet marekani ni expensive kuliko kenya na south africa..

Au unataka kusema wanakwepa bills ndio wakalipie za free kw restaurants.
Naona umekosa hoja sasa baada ya kukuuumbua
What Naton Jr was telling you, wasn't the actual price. Expensive is relative, a monthly bill could be $100 but if you get paid $10k a month (a ratio of 1 to 100), it's relatively cheaper.
 
Hicho ni kiingereza sio kizungu, mzungu ni race sio nationality we bwege, wapo wazungu chungu mzima hawaongei wala hawajui kiingereza, ni sawa ukiite kiswahili, kiafrika 😥😢 you sound lunatic as saying 'enyewe'
Sawa buda. Sasa mbona umrekebishe ukitumia kiingereza na lugha yenyewe huijui?
 
Wakenya mnavyosema neno 'enyewe' in which most of the time you use it is absolute grammatically irrelevant mnasound like lunatics

Unasemaje enyewe sehemu ambapo halihitajiki na halimake sense? Sounds like a certain dunderhead kid trying to construct sentences though in a dumbest manner, horrible 😢😥🙁🤔
Wewe ni hater wa kupuuzwa tu.
 
Wakenya mnavyosema neno 'enyewe' in which most of the time you use it is absolute grammatically irrelevant mnasound like lunatics

Unasemaje enyewe sehemu ambapo halihitajiki na halimake sense? Sounds like a certain dunderhead kid trying to construct sentences though in a dumbest manner, horrible 😢😥🙁🤔
Usinimention tena. Mbwa wewe
 
Back
Top Bottom