The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Nchi ya maziwa na asali [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Alafu nchi zingine zinaongopa tu co km kwetu mana km hazina corona mbn bado raia wanavaa mask?? Ogopa matapeli nchi pekee hapa duniani isiyokuwa na corona hata chembe ni Tz [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ona nchi yetu inavyopendelewa na Mungu [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1622861
Ingekombolewa kenya kwanza,kisha na sisi ndo tuige...My opinion(yani maoni yangu tu) machungu ya nini😂😂😂., mbona una hisia za ki chuki chuki hivi?😂😂 mafeeelings wachanga sazingine😂😂
Tanzania is likely to remain ya "viwonder" for long, haitokombolewa in this current generation, am sorry to say, it is an absolute fact.
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii road ni mpya kabisa lkn Wakenya kwasababu hawana elimu ya usafi wamei vandalise hiyo road now mifugo, magari, watu wanapita hapo hapo.
Hakuna mkenya huwa anapost hilo daraja ukiona anapost basi anapost wakati inajengwa, jamaa wachafu sana hawa [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]View attachment 1622884
"To teach a FOOLISH"Jamaa heshimu WAJINGA epuka balaa.NEVER try to teach a FOOLISH becoz a Dead body and a Dead brain can never be "Alive"