Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,137
- 17,873
Naona umeweka hadi picha za wale ombaomba wenu waliovamia mitaa zetu kama nzige 😂 😂Wana maisha magumu mno zaidi ya mnavyoweza kudhani ndugu zangu wasiongope eti ni Kibera tu hapana ni kenya nzima wana hali ngumu ngumu ngumu sana na ndiyo maana mkenya yeyote akipata fursa ya kuja Tz huwa hatamani kurudi kabisa, mm lecturer wng alikuwa mkenya huwa c mtu wa kurudi rudi nyumbani kabisa mpk tukawa tunashangaaView attachment 1622891View attachment 1622892View attachment 1622893