Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamaa heshimu WAJINGA epuka balaa.NEVER try to teach a FOOLISH becoz a Dead body and a Dead brain can never be "Alive"
Hyo apo chini ni render ya Kisutu market, zipo nyingi sana mpk mtaani kwetu huku uswazi zipo
Screenshot_2020-11-01-19-07-54.jpeg
 
Jamaa heshimu WAJINGA epuka balaa.NEVER try to teach a FOOLISH becoz a Dead body and a Dead brain can never be "Alive"
Hicho apo chini ndiyo kijiji cha michezo, tuna plan ya kuandaa Afcon miaka michache ijayo, ona viwanja vya heshima vipo sehemu moja na wala hatujali bado tunajenga vingine mfano kile cha Dodoma ndo kitakuwa kikubwa Afrika nzima
Screenshot_2020-10-31-11-20-12.jpeg
 
Tanzania bhn baba laooo, tukija kwenye battle ya gari kali ndo usiseme, kuna mkenya mmoja uko juu eti anatoa execuses kwmb umaskini wote huu bado watu wananunua Lamborghini, anajisahaulisha kwmb Tz ndiyo nchi yenye dollar millionaires wengi in East and Central of Africa
tapatalk_1604908206200.jpeg
tapatalk_1604908196480.jpeg
tapatalk_1591908514298.jpeg
tapatalk_1591906750780.jpeg
tapatalk_1591907758850.jpeg
 
A good move, lakini kwa opinion yangu, county government system in Tanzania can work 'magic', more than that! Serikali ya majimbo inaweza peleka Tz kwa mwendo wa kasi, yaani economy will be Turbo charged! Mtazamo wangu kutokana na vile nimeona impact yake hapa Kenya, na Tz is full of natural resources almost all around the country.
Mna nini kwenye County government zaidi ya kuongeza government expenditures?

Hivi unajua mlijifunzia Tanzania kwenye serikali za Mitaa (local government) ndio mkaiga mkaita ugatuzi?

Robo 3 ya revenue collection yenu inalipa mishahara


Note, Tanzania is almost two times bigger than Kenya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom