Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 10,168
- 9,536
Wewe weka hapa facts., nikisema ukweli mnakasirika sana😂😂.,Nimekuuliza kati ya kenya na Tz nchi ipi ina maskini wengi c ujibu ss mbn waruka ruka km kuku aliyechinjwa.
Wewe weka hapa facts., nikisema ukweli mnakasirika sana😂😂.,Nimekuuliza kati ya kenya na Tz nchi ipi ina maskini wengi c ujibu ss mbn waruka ruka km kuku aliyechinjwa.
Na ndio maana walikuwa wanatamani sana JPM asirudi madarakaniNyie mnatuonea wivu sn na Tz yetu, ninaamini kabisa kwenye Wakenya 10 basi 6 kati yao wanataka kuwa WaTz, mnaona wivu mno na niwaambie tu kwamba msione vyaelea vimeundwa.
Wakati JPM anaapishwa kuna media yao ilikuwa inarusha liveViongozi wao daima kuabudu Tz tu kila siku Tz tu midomoni mwao af unadhani itakuwaje kwa wananchi na ndiyo maana Wakenya wengi wanapenda kuwa WaTz cz wanaona Tz km Heden.
Jpm kawakamata kushoto kulia hawana hamu naye, ss awamu hii ndo anaenda kumaliza mchezoWakati JPM anaapishwa kuna media yao ilikuwa inarusha live
Mm nilikuwa nashangaa sana kenya inaizd vp Tz nchi yetu tajiri hii, kumbe bhn viongozi wetu walikuwa wanatuzunguka wanakula 10% wamelizika, but now kazi kazi miaka michache tuu tumefanya mambo ambayo kenya hawawezi kufanya kwa miaka 100 ijayo ila wamekaa hapa wanajipa moyo na gdp ushuzi wkt wenzao tunaenda level za Eastern EuropeWakati JPM anaapishwa kuna media yao ilikuwa inarusha live
Walijaribu kuingilia uchaguzi wetu kwa mara nyingine tena lakini imeshindikanaJpm kawakamata kushoto kulia hawana hamu naye, ss awamu hii ndo anaenda kumaliza mchezo
Walijaribu kuingilia uchaguzi wetu kwa mara nyingine tena lakini imeshindikana
Lakini sisi kama Tanzania tukiamua kuingilia uchaguzi wao ni mapema sana tunawawekea tunaemtaka.
Duh, ntarudia, sikua hata najua kuna kitu matata huko mbele , asante kwa kunikumbusha. Noma sana.Uli-capture na SGR station 👏🏽👏🏽
View attachment 1622644
Tulikuwa na viongozi wa ajabu ajabu sana,Mm nilikuwa nashangaa sana kenya inaizd vp Tz nchi yetu tajiri hii, kumbe bhn viongozi wetu walikuwa wanatuzunguka wanakula 10% wamelizika, but now kazi kazi miaka michache tuu tumefanya mambo ambayo kenya hawawezi kufanya kwa miaka 100 ijayo ila wamekaa hapa wanajipa moyo na gdp ushuzi wkt wenzao tunaenda level za Eastern Europe
Nani huyo alikula asilimia 10,, na icho kiwanda saiv kimefuguliwa?? Na kama ni kweli mtu alikula asilimia 10 saivi yuko jela au ni siasa tu??Tulikuwa na viongozi wa ajabu ajabu sana,
Imagine mtu anapewa 10% ili afunge kiwanda cha nchini kwake ili kiwanda cha nchi jirani kikamate soko,
Kiwanda cha matairi ya magari Arusha
Ila kwa sasa hivi kiwanda kimoja kikijengwa au kufufuliwa Tanzania ni kilio kenya.
Najua wajinga kama wewe hamjui sababu ya Cement kupanda mitaani mmekalia kusambaza ovyo hilo gazeti,
Kwanza cement imepanda baadhi ya sehemu na wafanyabiashara ndio wanapandisha bei mitaani wala viwanda havijapandisha bei ya cement,
Nipo kwenye kiwanda kikubwa kimojawapo cha cement na bei ya cement kiwandani haijafika hata 15,000 per bag.
Huo zaidi ya hilo paa kuna kipi kipyaKuna "takataka" (in American accent) alifungua thread juzi eti anafananisha huu uwanja na ile karakana yao View attachment 1622535
Eti soko lenye maajabuMzee ukipata modern market yenye level hii kenya nzima mm nafunga acc jamii forum
Uhehehehe naona ushapanic sasa kama kawaida yako😂😂😂😂😂 kwan uliambiwa mall hakuna au???Eti soko lenye maajabu
Semeni wawekezaji wanaogopa kuwajebgea malls sasa serekali inaamua kujifurukuta
Unawez ukan2mia cover kwa mbele nione il niijueMkuu hii ufo vpn haili sn mb.
Mm nilikuwa nashangaa sana kenya inaizd vp Tz nchi yetu tajiri hii, kumbe bhn viongozi wetu walikuwa wanatuzunguka wanakula 10% wamelizika, but now kazi kazi miaka michache tuu tumefanya mambo ambayo kenya hawawezi kufanya kwa miaka 100 ijayo ila wamekaa hapa wanajipa moyo na gdp ushuzi wkt wenzao tunaenda level za Eastern Europe
Mm nilikuwa nashangaa sana kenya inaizd vp Tz nchi yetu tajiri hii, kumbe bhn viongozi wetu walikuwa wanatuzunguka wanakula 10% wamelizika, but now kazi kazi miaka michache tuu tumefanya mambo ambayo kenya hawawezi kufanya kwa miaka 100 ijayo ila wamekaa hapa wanajipa moyo na gdp ushuzi wkt wenzao tunaenda level za Eastern Europe
😂😂😂😂napenda vile mnavyo penda kujikweza😂😂 eti eastern Europe😂😂., jaribu mfike level ya Ghana hivi GDP na kama akina Namibia, Botswana kimaisha kwa average raiya kwanza😂😂kisha mkomboe Dar kutokana na low life residentials zilizotapakaa like 85% of the whole sq km. Kisha yale masoko nakubwa (shopping centres) mnayo yaita city jaribu nazo zipate angalau na flyovers na underpass ziweze kuketi meza moja na Dar, na pia ziwe na proper residentials kila corner last sivyo never in this current generation n.a. fikra zenu finyu😂 😂😂😂 eti Europe😂😂😂mbavu zangu😂😂😂 Lupita kasema "dreams are valid" keep on being positive kaka, inakubalika.Mm nilikuwa nashangaa sana kenya inaizd vp Tz nchi yetu tajiri hii, kumbe bhn viongozi wetu walikuwa wanatuzunguka wanakula 10% wamelizika, but now kazi kazi miaka michache tuu tumefanya mambo ambayo kenya hawawezi kufanya kwa miaka 100 ijayo ila wamekaa hapa wanajipa moyo na gdp ushuzi wkt wenzao tunaenda level za Eastern Europe
Life is difficult for the blind kama wewe.Huo zaidi ya hilo paa kuna kipi kipya
Haiji disconnect wala nnJe ukiconnect haij disconnect yenywUnawez ukan2mia cover kwa mbele nione il niijue
Cku kenya ikijaribu kuondoa japo robo ya slums ilizonazo nitag nitoke Jfnapenda vile mnavyo penda kujikweza eti eastern Europe., jaribu mfike level ya Ghana hivi GDP na kama akina Namibia, Botswana kimaisha kwa average raiya kwanzakisha mkomboe Dar kutokana na low life residentials zilizotapakaa like 85% of the whole sq km. Kisha yale masoko nakubwa (shopping centres) mnayo yaita city jaribu nazo zipate angalau na flyovers na underpass ziweze kuketi meza moja na Dar, na pia ziwe na proper residentials kila corner last sivyo never in this current generation n.a. fikra zenu finyu eti Europembavu zangu Lupita kasema "dreams are valid" keep on being positive kaka, inakubalika.
Wacha sisi tupambane kuondoa slums., our target 2030. Mwendo wa pole pole.
NMS set to transform Mukuru slums within one year
Kevin.n
Nov 5, 2020 5:09 PM
The Nairobi Metropolitan Service (NMS) under the leadership of general Badi is currently under control of the most important sectors in Nairobi county, it has done very great job for the few days that it has been in place (less than two years) after it was appointed by his Excellency the president Uhuru Kenyatta in order to transform the city.
The latest plan released by the NMS is the transformation of the Mukuru slums into a modern settlement within a period of one year, the implementation of the plan is already in progress which will muchly focus on water and sanitation, electrification as well roads and drainage systems.
The national government has already allocated 15 billion for the social housing project which will contain more than 13 000 housing units on a 650 acre piece of land stretching from Marigoini to Viwandani. This will completely transform Nairobi into a modern most city.