Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hku ndio hawanunui sio[emoji3]
Sasawa bana
Wanaomiliki ni watoto wa mafisadi, wakati Arusha ni brokers wa Tanzanite, Geita ni goldguys na huko kwengineko bado ni jasho lao, Tanzania watoto wa wenye pesa wanasukuma ndinga mama sio viforesters
 
Vijana wa kenya wana hustle bana acheni mchezo watanzania wengi wao ukiskia storry zao utalia..

We unafikiria hzo slums mnazo zidharau zimetoa vijana wangapi mpka sai wanaishi maisha mazuri tu..
Yote hyo inaletwa na nn wazazi wetu na tangia enzi hzo unafundishwa kujitegemea..hakuna cha ubwete ubwete hku
 
Wanaomiliki ni watoto wa mafisadi, wakati Arusha ni brokers wa Tanzanite, Geita ni goldguys na huko kwengineko bado ni jasho lao, Tanzania watoto wa wenye pesa wanasukuma ndinga mama sio viforesters
Mbona huaga hampendi ukwel, raha ya wivu ni nn haswa jamani..yani kabisa unajipiga kifua eti wanaomiliki ni watoto wa mafisadi..

Utakufa kw kijiba cha moyo basi, wivu na roho mbaya havitakupeleka popote pale jomba..
 
Mbona huaga hampendi ukwel, raha ya wivu ni nn haswa jamani..yani kabisa unajipiga kifua eti wanaomiliki ni watoto wa mafisadi..

Utakufa kw kijiba cha moyo basi, wivu na roho mbaya havitakupeleka popote pale jomba..
Hahahaha shenanigan wa mombasani naona umenifungulia taarab kidogo bibie

Unaambiwa kazi sio kuvaa dera kazi kulishikilia 😅😅😅😅

Huko ndio level yako my shenanigan, hayo mengine tuyaache 😄😄😄
 
Vijana wa kenya wana hustle bana acheni mchezo watanzania wengi wao ukiskia storry zao utalia..

We unafikiria hzo slums mnazo zidharau zimetoa vijana wangapi mpka sai wanaishi maisha mazuri tu..
Yote hyo inaletwa na nn wazazi wetu na tangia enzi hzo unafundishwa kujitegemea..hakuna cha ubwete ubwete hku
Kwa kuiba labda manake vijana wanaoenjoy kenya ni wale waliotokea kwneye familia za matajiri na politician ila waliotokea kwenye maisha fukara kutoboa hua ni ngumu sana kenya tuseme ukweli tu 😂😂😂😂

kwa tanzania mambo ni tofaut vijana wengi wanatoboa hata kama wametoka kwenye maisha ya chini kabisa
 
What is 0.3% gap to 95% reporting? Even at 99% I won't be sure ndo maana the color is light blue au hili lina ubishi pia? Au walioweka light blue wajinga? 🤣

sio swala la ubishi... hayo ni ngome za democrat.. ndo mana hata wao wanaona biden hapo kashinda
 
sijawahi kuona incumbent president analalamika.. it’s only Trump ... Biden will pull through [emoji1491]
IMG_1604504106.952154.jpg
 
sio swala la ubishi... hayo ni ngome za democrat.. ndo mana hata wao wanaona biden hapo kashinda
Sawa mzee wa uduvi huko ni US baba sio kura za CCM kudai jimbo la chama flani! Hapo maana yake ni swing state!
 
Hku ndio hawanunui sio[emoji3]
Sasawa bana

Tena wanategemea uchimbaji wa dhahabu, ukiwachukua vijana wa kenya wahamishe geita alafu wa geita uwalete hku wa geita watashangaa waanzie wapi..

Akili zao wanawaza madini tu wala hamna lolote lingine
Kumbe unaonekana huwafaham binadam vizur? Binadam hata umpeleke wapi anaweza pamban na nature au kuadopt it....
 
Hii election ya Marekani imechanganyikiwa sana. Nimeifuatilia kuanzia jana saa tisa usiku na bado hakuna mshindi.
 
Hii election ya Marekani imechanganyikiwa sana. Nimeifuatilia kuanzia jana saa tisa usiku na bado hakuna mshindi.

[emoji23] fatilia tu electoral votes au popular votes za Michigan, Nevada na Wisconsin. Biden akishinda zote hizi, Urais ni wake.. otherwise trump akimnyang’anya Biden yoyote hapo Urais ni wa Trump
 
[emoji23] fatilia tu electoral votes au popular votes za Michigan, Nevada na Wisconsin. Biden akishinda zote hizi, Urais ni wake.. otherwise trump akimnyang’anya Biden yoyote hapo Urais ni wa Trump
Saa hii ndio mambo yameanza kukaa sawa kwa Biden. Michigan na Wisconsin zimeturn blue. Pennsylvania pia inategemewa kuturn blue baada ya early votes kuhesabiwa.
 
Back
Top Bottom