oyoo michigan wanaenda kumpunzisha Trump urais
View attachment 1619429View attachment 1619430
35,000 votes count difference!
Hapa jamaa wmeniacha kwani wanahesabuje kura hawa jamaaa12,000 to go.. 90% reported
View attachment 1619434
biden tayar ameshamnyang’anya trump 10 votes kutoka wisconsin japo difference ni ndogo sana .. anatakiwa achukue votes at least 16 ili kupata 271 votes ya ushindi .. tumain pekee ni kutoka kwa Pennsylvania au michigan
View attachment 1619423
Kura zao ziko-calculated based on number of residents in a state and that number of residents determines the number of electroral votes a reason the Eastern side of the US has many electoral votes though their states r small r having many residents as that side is more populated!Hapa jamaa wmeniacha kwani wanahesabuje kura hawa jamaaaView attachment 1619442
So mpaka hapo nani anaongozaKura zao ziko-calculated based on number of residents in a state and that number of residents determines the number of electroral votes a reason the Eastern side of the US has many electoral votes though their states r small r having many residents as that side is more populated!
so far Bidden anaongoza kwa tofauti ndogo ya 238 to 213 za Trump ila kuna majimbo kama 8 ambayo bado wanabanana na ili kushinda Urais unahitaji kushinda electoral votes 270! Wote wanalimezea mate jimbo la Pennslyvania lenye electoral votes 20 maana utaratibu wao ni winner takes all japokuwa Trump anaongoza kwa 56% kuna kura za barua 1.7 mln hazijahesabiwa! Na kwa vile wengi wamepiga kura kwa mfumo wa barua kuhepa Korona inasemekana itachukua muda kupata mshindi kwa ujumla maana kuna rundo la barua za kuhesabiwa!So mpaka hapo nani anaongoza
Arusha si wanaiba nairobi vitu vingi tu[emoji23][emoji23]Tanzania Ina influence kubwa huko kwenu, yapo mengi kutoka Tanzania unayapenda sio swags za Arusha tu [emoji3]
Acha ushamba wewe, wataka kulinganisha subaru gang ya nai na arusha kwel..Swags za Arusha ni pamoja na Subaru fanatics, bike fanatics, dressing codes zao na mengine yanayopatikana huko kwa upekee
Duh!!nairobi bana[emoji23][emoji23][emoji23]
Anadhani kuwa na Subaru Kenya ni Swag.Acha ushamba wewe, wataka kulinganisha subaru gang ya nai na arusha kwel..
We jamaa huaga unajiskiza
Trump anaungwa mkono na wazee na vilaza kumbe[emoji23][emoji23]
Huyo jamaa kumbe hana exposure, ma dogo wa chuga wengi wao huaga wanaifagilia nai kichiziAnadhani kuwa na Subaru Kenya ni Swag.
Huku huitwa fvckboyz!
fortunately turnout ya vijana is encouraging this time ni kama kipindi cha Obama! ndo maana the Presidency is still for taking!Trumb anaungwa mkono na wazee na vilaza kumbe[emoji23][emoji23]
Hapa jamaa wmeniacha kwani wanahesabuje kura hawa jamaaaView attachment 1619442
Acha tusibirie tuone km kufikia kesho atatoka manake hatuwezi jua, lolote linaweza kutokeaUnfortunately turnout ya vijana is disappointing this time si kama kipindi cha Obama! ndo maana the Presidency is still for taking!
Kw wazungu huo mfumo unawafaa hta km una changamoto zake, ila hku kwetu afrika tusubiri sana..kwa kiswahili.. rais anachaguliwa kupitia Electoral vote (mim naziita kura za majimbo).. ataepata zaid ya 270 ndo mshindi.. hizo kura nyingine zinaitwa popular vote (kama hizi zetu kwa bongo, ila hazina faida)
hizo kura za majimbo zimegawanywa sawa na idadi ya watu ndani ya jimbo.. roughly one electoral vote represents about 280,000-320,000 voters