Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

guys, Joseph (Joe) Biden is the new President of USA
IMG_1604499024.692741.jpg
 
Duh!!nairobi bana[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mshikaji wa hapo kachomoa waya sio kawaida aisee
Hii walipuliziwa Halothene. Once you inhale it, unazima! Mnashtukia asubuhi wapangaji kwani mlipanga kuchelewa shughuli za kwenda kazini 😅
 
Kw wazungu huo mfumo unawafaa hta km una changamoto zake, ila hku kwetu afrika tusubiri sana..
Kwanza wakiileta hku kwetu hao wazee wa kazi watakua km mabeberu, unatishiwa ufanye wanavyotaka au next election wakuangushe

huu mfumo kwetu ni mgumu
 
guys, Joseph (Joe) Biden is the new President of USA
View attachment 1619481
bado hapo anategemewa kuongeza 16 electoral votes yet alikuwa 238 na hiyo voting count ni only 94% na margin ni 0.2% ndo maana unaona iko-light blue maana yake anaongoza mpaka iwe deep blue! The same is where it is light pink! huu mchezo unaweza kuenda mpaka Friday depending on how fast the count on postal ballots !
 
Tony254 simu yako imesalimika? Umepotea kweli au wamebeba Huawei yako? 😀 😀☝️🤣
Hehehe. Ogopa Kenya. Hao wamenyunyiziwa dawa ya kulala.

Kuna hadithi huwa nasema na iko hivi:

Mzungu kutoka Uingereza kavumbua mashine ya kukamata wezi. Ili kuifanyia testing akaipeleka Marekani halafu mashine hio ikakamata wezi 20. Kisha akaipeleka Uchina na huko ikakamata wezi 30. Halafu akaamua kuipeleka Nigeria na huko ikakamata wezi 1,000. Sasa akaamua kumalizia testing yake kwa kuileta mashine hio hapa Kenya. Lakini tatizo ni kuwa alipoileta Kenya mashine yenyewe iliibiwa.
 
Hehehe. Ogopa Kenya. Hao wamenyunyiziwa dawa ya kulala.

Kuna hadithi huwa nasema na iko hivi:

Mzungu kutoka Uingereza kavumbua mashine ya kukamata wezi. Ili kuifanyia testing akaipeleka Marekani halafu mashine hio ikakamata wezi 20. Kisha akaipeleka Uchina na huko ikakamata wezi 30. Halafu akaamua kuipeleka Nigeria na huko ikakamata wezi 1,000. Sasa akaamua kumalizia testing yake kwa kuileta mashine hio hapa Kenya. Lakini tatizo ni kuwa alipoileta Kenya mashine yenyewe iliibiwa.
au kukawa na blackout ikashindwa kufanya kazi! 🤣 ☝️ 👇 🤣

 
bado hapo anategemewa kuongeza 16 electoral votes yet alikuwa 238 na hiyo voting count ni only 94% na margin ni 0.2% ndo maana unaona iko-light blue maana yake anaongoza mpaka iwe deep blue! The same is where it is light pink! huu mchezo unaweza kuenda mpaka Friday depending on how fast the count on postal ballots !

yes i understand, ila hizo ni ngome za democrat’s.. trump hawez kuchukua yoyote.. so kura zote hizo zitamuangukia biden
 
Hii walipuliziwa Halothene. Once you inhale it, unazima! Mnashtukia asubuhi wapangaji kwani mlipanga kuchelewa shughuli za kwenda kazini [emoji28]
Kuna wabongo hku nao wanarandranda kw streets chunga sana, wachawi kishenzi yani ukiwa town ukipewa salamu then upeane mkono kwisha habari yako[emoji23][emoji23]

My aunt kaporwa samsung galaxy A31 peupe[emoji23][emoji23]..

Tena siku hizi naskia wanapiga kolabo na wakenya
 
yes i understand, ila hizo ni ngome za democrat’s.. trump hawez kuchukua yoyote.. so kura zote hizo zitamuangukia biden

ukiangalia hata saiz, gap linazidi kuongezeka and they are 95%reporting
IMG_1604501477.172085.jpg
 
Acha ushamba wewe, wataka kulinganisha subaru gang ya nai na arusha kwel..
We jamaa huaga unajiskiza
Shenanigan wa mombasani katika ubora wake

Ninyi mtoe wapi ubabe wa kutunishiana misuli na Subaru addicts wa Tanzania? Yaani tena hapo ni Arusha tu, huko Geita kuna Subaru fanatics mje wote hamuwawezi hata robo

Kwanza ninyi pesa za Subaru mnatoa wapi?
 
Shenanigan wa mombasani katika ubora wake

Ninyi mtoe wapi ubabe wa kutunishiana misuli na Subaru addicts wa Tanzania? Yaani tena hapo ni Arusha tu, huko Geita kuna Subaru fanatics mje wote hamuwawezi hata robo

Kwanza ninyi pesa za Subaru mnatoa wapi?
Geita ni Mkoa Tajiri kuliko yote Tanzania nje ya Dar Es Salaam
 
Shenanigan wa mombasani katika ubora wake

Ninyi mtoe wapi ubabe wa kutunishiana misuli na Subaru addicts wa Tanzania? Yaani tena hapo ni Arusha tu, huko Geita kuna Subaru fanatics mje wote hamuwawezi hata robo

Kwanza ninyi pesa za Subaru mnatoa wapi?
Sasa subaru ni nn jamani, kitu ambacho mpka graduates wanamiliki..
We hata niwa kupuuzwa
 
Wewe nilishakupuuza toka ujafikiria

Ninyi graduates ndio wanazimiliki wakati Geita teenagers wenye early 20s ndio wamiliki tena kwa jasho lao la vumbi tu za gold.
Hku ndio hawanunui sio[emoji3]
Sasawa bana

Tena wanategemea uchimbaji wa dhahabu, ukiwachukua vijana wa kenya wahamishe geita alafu wa geita uwalete hku wa geita watashangaa waanzie wapi..

Akili zao wanawaza madini tu wala hamna lolote lingine
 
Back
Top Bottom