Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo Aswan dam itapata maji toka wapi kama Ethiopia wataendelea kujaza hilo bwawa lao?.

Kuhusu Ethiopia kulishambulia Aswan dam, Ethiopia haina uwezo wa kupiga sehemu yoyote ndani ya Egypt, ni sawa na kusema Tanzania tuna uwezo wa kulipua Victoria Falls, hatuna ndege wala Ballistic missiles zenye uwezo za kufika huko.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hatuna?? Waoo
 
Ni upumbavu ku battle na kimji cha 300 square kilometers thidi ya 10,000 square kilometres

Wastage of time kabisa 🚮🚮🚮
Huyu koro ni mjinga. Huwa nashangaa sana mtu anapojibizana naye.
She is a stupid woman, ambaye hajawahi kwenda sehemu yoyote tofauti na kibera.
 
Eti nini? TPA tower yenu inayopendeza kweli imedesigniwa na Mkenya. Hata jengo la bunge lenu limedesigniwa na huyo huyo architect Mkenya anayeitwa James Kimathi. Sasa unaturingia TPA tower ilhali imechorwa na Mkenya? Mbona hamgechora wenyewe?

Soma hapa

Wewe ni pimbi kumbe Kwani yeye kuchora ndio kunabadili nn?
 
Si uweke kila kitu pia ya hapo mwanza bas tuone ka itaweza Mombasa
mwenzako kakimbia unakuja wewe😂😂😂👇👇👇👇👇👇
anza na capripoint kwanza 😂😂👇👇
View attachment 1611871
ukiskia capripoint ni fire👇👇👇
angalia nyumba zilivotundikwa juu ya milima alaf ndio uongee sasaView attachment 1611911View attachment 1611912
huku tunapaita isamilo👇👇👇
View attachment 1611894
airport way 👇👇👇👇
View attachment 1611890
hapa panitwa nera mwanza way to kirumba👇👇👇👇
View attachment 1611881
 
one pic is enough kila siku mm nawaambia humu 😂😂😂👇👇👇👇
3CAB69ED-FF04-4CBD-8432-381533850ABC.jpeg
 
mwanza imekamua watu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom