Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

this is what ur posting pamoja na filter laki moja lakini mambo ni haya๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
View attachment 1612261
Kwani kuna ubaya gani kwenye hio picha? Mombasa imeendelea hata kushinda hio Mwanza unayoringa nayo. Mwanza ina port? Airport ya Mwanza inabeba abiria wangapi? Mwanza ina bridge ngapi? Mwanza ina hoteli 4 star au 5 star ngapi? Usilinganishe Mombasa na uharo wenu wa Mwanza. Okay?
 
Designing is not building! Any idiot can design!

Nani kajenga hii ugly building ? Lazma a Kenyan company! Juakali style!
2601607_IMG_20201001_144456.jpg
Wivuu,mwanza uko na design gani nzuri kuliko hii
KMA HQ.jpg
IMG_20201001_144501.jpg
 
Kwani kuna ubaya gani kwenye hio picha? Mombasa imeendelea hata kushinda hio Mwanza unayoringa nayo. Mwanza ina port? Airport ya Mwanza inabeba abiria wangapi? Mwanza ina bridge ngapi? Mwanza ina hoteli 4 star au 5 star ngapi? Usilinganishe Mombasa na uharo wenu wa Mwanza. Okay?
bro acha ujinga basi just be serious mm mombasa hakuna kitu utanidanganya, mombasa ina port kubwa kwasababu iko baharini mbona kma huna akili vile

kwnye subrub mwenzio kakiri na kukimbia mbio๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Wacha panganga nyingi,post zote mpaka uswazi wa mwanza tuona ukiweza mombasa
uhehehehhehehehehehehrhhehe mwenzio kakimbia jana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na hutaskia anaiongelea tena mwanza
 
Usiingize watu wengine hapa,nataka kuona mwanza ikichapa mombasa peupe
uhehehehhehehehehehehrhhehe mwenzio kakimbia jana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na hutaskia anaiongelea tena mwanza
 
Usiingize watu wengine hapa,nataka kuona mwanza ikichapa mombasa peupe
nimekuruhusu uingize na hotels pia zikusaidie ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ manake usije sema umeonewa
 
Vipi uwezo wetu wa uokoaji kama Meli ikipata tatizo hata tu ikishika moto majini? MV Viktoria nakumbuka walikuja Makaburu kutoka AK, ile ya Zanzibar iliyozama mita chache ktk ufukweni walikuja Makaburu pia, je tumesharekebisha hilo? Kwa maoni yangu kama bado ni vizuri tukawekeza hapo kwanza kabla ya kuendelea kujaza meli, ...
Sio mv Victoria bwana usitutie gundu! Mv Victoria IPO na inafanya kazi.


Watu wanachanganya Sana. Mv bukoba ndo ilizama ( na so far hakuna Ajali kama hiyo Africa nzima RIP)
 
Kwani kuna ubaya gani kwenye hio picha? Mombasa imeendelea hata kushinda hio Mwanza unayoringa nayo. Mwanza ina port? Airport ya Mwanza inabeba abiria wangapi? Mwanza ina bridge ngapi? Mwanza ina hoteli 4 star au 5 star ngapi? Usilinganishe Mombasa na uharo wenu wa Mwanza. Okay?
Malaika Hotel Mwanza
booking-480274-124395296-image.jpg
booking-480274-124395307-image.jpg
booking-480274-124395106-image.jpg
booking-480274-124395023-image.jpg
booking-480274-137886988-image.jpg
booking-92058228-124395342-045255.jpg
booking-92058228-124395227-615987.jpg
booking-480274-124395032-image.jpg
 
Back
Top Bottom