ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hapa panitwa nera mwanza way to kirumba👇👇👇👇Maskini
Hata haina haja
hapa panitwa nera mwanza way to kirumba👇👇👇👇Maskini
Hata haina haja
Siweizi ishindanisha mombasa na places km hzodawa imeingia vyema![]()






post nyali unafkiri utapost sehemu gani zaidi ya nyali??😂😂😂😂 na huko ndio matajiri wote wa mombasa wapo huko unafkiri utapost nn zaidi???Siweizi ishindanisha mombasa na places km hzo
Mabati rollings si wana wateja sana mwanza..
Yani kabisa na wewe unajikuta umeleta suburbs za kishua kabisa![]()
Nyali ina host nyumba karibia za matajiri kutoka maeneo tofauti kenyapost nyali unafkiri utapost sehemu gani zaidi ya nyali??na huko ndio matajiri wote wa mombasa wapo huko unafkiri utapost nn zaidi???



Siwezi ipambanisha mombasa na vitu km hvyo jomba..ni aibu sanaMsubiri hapo aje na nakuru ajumlishe kisumu eldoret na mombasa yote kupambana na mwanza
ukiskia capripoint ni fire👇👇👇Siweizi ishindanisha mombasa na places km hzo
Mabati rollings si wana wateja sana mwanza..
Yani kabisa na wewe unajikuta umeleta suburbs za kishua kabisa![]()
so matajiri wa mombasa wanakaa wapi????Nyali ina host nyumba karibia za matajiri kutoka maeneo tofauti kenya
Hko hta achana nako..
Ila kw mitaa hyo zii dogo
😂😂😂😂😂 hawa unajua hua wanafkiri hii ni ile tanzania ya 90s sasa ni ngumu kukubali ukweliMsubiri hapo aje na nakuru ajumlishe kisumu eldoret na mombasa yote kupambana na mwanza
Matajiri mombasa eti wanakaa wapiso matajiri wa mombasa wanakaa wapi????
nyali kuna hotels za watalii na nyumba za matajiri sasa unataka kunidanganya mm au
ww turudi huko kwenye mabanda ya nguruwe![]()




marina iko wapi???😂😂😂 unajifanya umechanganyikiwa au ni hotel ya masikini wa slumsMatajiri mombasa eti wanakaa wapi
Jamani ujuaji utakumaliza mzee baba
Hotels za watalii zipo wapi vile tena
Kaa ukiuluza jamani
Icho jamani, kweli unajua tofauti ya nyali constituency na nyali..marina iko wapi???unajifanya umechanganyikiwa au ni hotel ya masikini wa slums


Maskini icho...
so marina haiko nyali 😂😂😂😂Icho jamani, kweli unajua tofauti ya nyali constituency na nyali..
Ndio nimekwambia acha ujuaji mombasa huijui, marina ni ukivuka bridge tu kw sisi watu wa kisiwani..