Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona barabara za Kenya huwa zinakukosesha usingizi. Kila siku lazima uingie kwenye hii twitter account.

Naangalia lazy nation being openly swindled of her rightful value for money for her projects by the Chinese!

Angalia what value for money mean 👇

The 1.03 km new Selander alias Tanzanite bridge update...

640



3z4xTX7.jpg



D6gpfis.jpg



1XvrBSh.jpg



halSSGI.jpg



3GHE3kW.jpg



Source


MY TAKE
What percent is this project now? I believe over 50%! Anyone with credible information...
 
Nikiona kama hivi nafurahi..sana..Ajira kama 3000 direct na over 7000 indirect..hapa pssf nimeona wamepiga project ya maana ..kuliko yale ma towers..above all wameinvest chini ya Billion 100..
Plus kita produce
Viatu
Mabegi
Soles
Belts etc
1 .2 million shoes a year ..pata picha average wauze 5$ per shoe which is so low ..ukiangalia kuna mi boots inauzwaga hata 20-50$..thats over 6mil usd in revenues..View attachment 1608416
Magu mapema kabisa wakati anaingia aliwaambia mifuko ya hifadhi ya jamii wafanye hv, nadhani Magu anajua kwamba tukishajenga viwanda vingi zen maghorofa ya adabu ni unavoidable.
 

Raila kavaa sare za Ccm kuunga mkono rafiki yake jpm, hizi in diplomasia za aina yake




















.
Hizi nyumba aheri ya vichuguu vya mchwa ni imara kuliko Haya majaga
 
hawa nguruwe huwa wanatucheka eti rais wetu anazindua vitu vya ajabu ajabu,hii kununua basi na kutangaza sijui tuseme nini?

basi lenyewe sasa
Mtangazaji anadai linabeba watu 60! Sina uhakika aisee! Nina doubt linaweza likawa la gharama ya kubeba watu 60 na si la uwezo wa kubeba abiria 60! kila kitu Kenya ni poor quality huwezi amini hata zile tourvans zao chasis elongation inafanywa na kampuni za Kitanzania!
 
Wakagera ulipigwa sana, ndio maana end product ikawa ya ajabu kivile, ulikua kwenye pipeline moja na hivi vilivyoachiliwa leo, ila hivi vitakua super zaidi sababu vipo awamu ya mzee baba mwenyewe fundi mkuu 😅
design ni moja ila jengo la Kigoma linakaa kubwa! Hivi ule wa Kagera kuna control tower?
 
design ni moja ila jengo la Kigoma linakaa kubwa! Hivi ule wa Kagera kuna control tower?
Yeah, Bukoba hakukuwa na control tower component sababu hata hivyo plan ilikua wajenge uwanja mwingine mkubwa zaidi na walikuwa wameshaanza compensation tayari, Magufuli akawaambia waupanue huo huo mpaka kule ziwani wareclaim kuliko kuingia gharama nyingine kubwa zaidi.

Huu wa Kigoma ni mkubwa kimtindo

DT6xMx6WkAYxzhl.jpg
DT6xMv3W0AE2gVx-1.jpg
DT6xMxOWsAAboH_-1.jpg
 
Back
Top Bottom