Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nitajie kitu nimedanganya hapo tuanze one by one.
Huna unaloweza kusema zaidi ya kubwabwaja hapa, wewe leo unapinga kwamba miji na vijiji vyote vya Kenya havina barabara zenye urefu wa kilometers 500 😅😅😅

Asante kwa hii takwimu mpya
 
Huna unaloweza kusema zaidi ya kubwabwaja hapa, wewe leo unapinga kwamba miji na vijiji vyote vya Kenya havina barabara zenye urefu wa kilometers 500 😅😅😅

Asante kwa hii takwimu mpya
Ulianza kwa mioto lakini mwishowe ukakibali Kenya tarmacked roads ni 21,000km. I like your spirit.
 
Nani alifanya ranking? Which position was South Africa that has a 91% connectivity rate? What about Seicheles which also have a 100% connectivity rate? Ama they were disqualified from the ranking? 🤣 🤣 🤣
Do you know the meaning of rural, have you ever be in seicheles?? these people have no rural areas my friend, and their total popln is less than 1 street in dar es salaam. In short seicheles is europe in africa every thing they have is incomparable but that is according to my observation.
 
Umesema barabara zote za mijini na vijijini Kenya zianza kujengwa 2018 😅😅😅😅

Hivi wewe mbung'o zimo kweli?
Usilie broh, 21,000km sio idadi kubwa vile. This year tutachapa 24k km.
 
Hapa ni Tanzania wacha ujinga.
Asante kwa kuja [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
Screenshot_2020-10-16-18-09-22.jpeg
Screenshot_2020-10-16-17-59-07.jpeg
Screenshot_2020-10-16-18-08-56.jpeg
 
Do you know the meaning of rural, have you ever be in seicheles?? these people have no rural areas my friend, and their total popln is less than 1 street in dar es salaam. In short seicheles is europe in africa every thing they have is incomparable but that is according to my observation.
Kwa hiyo list Seychelles pekee ndio umeona? Mbona hujaongelea South Africa? Mbona hujaongelea Egypt?
 
Back
Top Bottom