Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha beneficiary on behalf ya wanywa chang'aa wa Jubilee

Mzee pumbunyoo bado zimenaswa kwenye 11k, kubali yaiahe
Hahahaha kwa hiyo saivi mna highway ndefu za kilometers 18K?,

primary, secondary, special service, classified roads zina kilometres ngapi.?
Nimeshangaa sana aliposema ati 18k highways, nadhani WaTz mmeona hawa watu, mwanzoni walikuwa wana claim 21k baada ya kubanwa mapumbu yao wamerudi kwenye 18k na wamehangaika ucku kucha.

Ss swali dogo la kujiuliza ni kwamba 2017 walikuwa na 11k ambazo wenyewe wamekubali hapa zen 2019 wawe na 21k?

Duuhhh barabara zenyewe ziko wapi mbn hatuoni wakijenga? Bora cc tungeamua kuongopa jamii ingeelewa mana kila kona ni ujenzi ss hawa ombaomba wamejanga lini hizo 10k ndani ya miaka 2? Hivi hapa inahitaji degree kweli kuelewa kwamba hawa watu ni waongo?
 
The number of customers connected to the main source of power also reached over 2.766 million, up from 1.473 million, or an increase of 1.293 new connections.

Ya Kenya connectivity ni ngapi? Unajua kweli? google ujionee kisha tumia hiyo fikra yako kufanya hesabu.,😂😂😂
Sina uhakikka na hizi namba kwa hesabu ndogo tu hii 2.7m household inawezapatikana dar na zanzibar na inavuka maana dar is almost 97% electricity na populn ya 6+ milion hizi ni kama househld 1.8m plus znzbar unapata iyo namba yako sasa tafuta tz nzima ni ngap? Na kwa taarifa sikuizi Tz hakuna kijiji cha giza karibu vyote viina umeme na umeme kuweka ni 27k tu so jiongezeni.
 
Nimeshangaa sana aliposema ati 18k highways, nadhani WaTz mmeona hawa watu, mwanzoni walikuwa wana claim 21k baada ya kubanwa mapumbu yao wamerudi kwenye 18k na wamehangaika ucku kucha.

Ss swali dogo la kujiuliza ni kwamba 2017 walikuwa na 11k ambazo wenyewe wamekubali hapa zen 2019 wawe na 21k?

Duuhhh barabara zenyewe ziko wapi mbn hatuoni wakijenga? Bora cc tungeamua kuongopa jamii ingeelewa mana kila kona ni ujenzi ss hawa ombaomba wamejanga lini hizo 10k ndani ya miaka 2? Hivi hapa inahitaji degree kweli kuelewa kwamba hawa watu ni waongo?
Hawa mbuzi tayari wameshachanganyikiwa, hata ukiwaona wanavyojadili ni kama vichaa leo anasema hili baada ya dakika mbili anaruka futi 100

Tuwaonee huruma tu, wameona Tanzania tumeshawapita kwa kilometers 15k na umeme 84% hawaamini na hawataki kukubali 😅😅😅
 
Hahahaha kwa hiyo kilometres za lami kumbe zinaenda zikupungua?

Wewe si umesema kenha ina kilometres 18k na kura haijawahi kuwa na kilometers zaidi ya 500?

Hizo ni kilometres za ushuzi?
Shikilia hapo hapo na mwishowe atakutana tu ndio alivyo akishindwa
 
Sina uhakikka na hizi namba kwa hesabu ndogo tu hii 2.7m household inawezapatikana dar na zanzibar na inavuka maana dar is almost 97% electricity na populn ya 6+ milion hizi ni kama househld 1.8m plus znzbar unapata iyo namba yako sasa tafuta tz nzima ni ngap? Na kwa taarifa sikuizi Tz hakuna kijiji cha giza karibu vyote viina umeme na umeme kuweka ni 27k tu so jiongezeni.
Hiyo 2.7 million ni maneno ya waziri wenu. Kwa hivyo wewe unajua zaidi ya waziri husika?
 
Ebu tuonyeshe highway haijakuwa paved Kenya.
Yani leo kazi unayo, angalia Jubilee inachosema kwamba tangu mwaka 2013 ilipanga kujenga km10k mpya za lami by 2022 na huyo CS wenu anasema funds were not enough.

Ss leo hii 2020 tayari unasema mna 21k mmezitoa wapi?

Kenya: Over 90% of Roads Are Not Tarmacked, Report Shows
Screenshot_2020-10-16-17-44-16.jpeg
 
Hiyo nchi imenyea iko na bank yenye inatengeneza profits mingi kuliko banks kuni bora za Tanzania.
Hiyo nchi imenyea iko hospitali mingi kuliko Tanzania.
Hiyo nchi imenyea iko anamanufacture bidhaa mingi kuliko Tanzania,
Hiyo nchi imenyea inaexport more goods kuliko Tanzania.
Hiyo nchi imenyea iko bandari kubwa zaidi ukunda huu.
Hiyo nchi imenyea has more people connected to electricity kuliko Tanzania.
Hiyo nchi imenyea iko na more paved roads kuliko Tanzania.
Hiyo nchi imenyea has more factories kuliko Tanzania.
Hiyo nchi imenyea produces more electricity than Tanzania.
Hiyo nchi imenyea iko na universities bora kuliko za Tanzania.
Ss ukienda kwa kupanic km hv hatutafikia solution, twende taratibu tumalizane kwenye paved roads kwnz zen tuhamie kwengine
 
Back
Top Bottom