Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha wameanza kujenga baada ya 2018 toka hiyo kura iwepo? Na kerra nao wameanza kujenga lini kilometers 2500?

Kwahiyo kenha ina 18k kilometers ambazo zote ni lami? 😂😂😂😂😂
bro unapoteza muda wako bure tu😂😂😂
 
Mbona umesurrender haraka mzee?
Hahahaha nimekuambia nimekubali mna kilometres 18k za lami highways kutoka kenha

Haya naomba data za kilometres hizi ambazo sio highways, mbona simple tu mzee 😂😂😂
 
I dare you to show me any road under KENHA that is not paved.
Hiki nini 😂😂😂😂😂 umesema kura haikuwahi kuwa na kilometers zaidi ya 500 za lami, hiki nini? 🤣😅😅😅

2589453_Screenshot_20201014-152131.png
 
kwanza ur thermal power generators zinatumia diesel au heavy fuel oil? I doubt kama zinatumia diesesl as such, but u never know in Kenya everything is possible!

Weekend njema Jomba!
Kama ungesoma hio article niliyokuwekea ungejua kuwa nyingi zinatumia diesel.
 
🤣🤣🤣🤣 Wakenya msaidieni huyu mgonjwa wenu jamani anaetaka kubadilisha 11k kuwa 21k za kwenye makaratasi 😂😂😂😂
Hio 11k ni WB ilireport. Hio 18.5k vile vile ni WB imereport. Vipi utakubali 11k ya WB kisha ukose kukubali 18.5k ya WB? Wacha mchezo.
 
Naona umerudi kwa data za 2009 🤣 🤣 🤣 🤣
Hahahaha kwa hiyo kilometres za lami kumbe zinaenda zikupungua?

Wewe si umesema kenha ina kilometres 18k na kura haijawahi kuwa na kilometers zaidi ya 500? 😂😂😂

Hizo ni kilometres za ushuzi?
 
Eqypt debt to GDP ratio, 80%
Japan debt to GDP ratio 200%
USA debt to GDP ratio 120%
so leo unafananisha japan na kenya
yani developed country vs developing country😂😂😂 hapo ndipo utaona kwann mzungu anaakili
 
Back
Top Bottom