Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I better trust World Bank kuliko Tanzanian Minister. Kwani yeye ndio alifanya ranking?
yani niache kuamini wizara inayohusika nikuamini ww mpuuzi 😂😂😂

niache kuamini source zaidi ya 30 zinasema same issue nikuamini ww
 
Sasa mbona unalia? Hiyo 2.7 million customers connected to electricity nimetoa kwa zile links za Ichoboy. Sasa nataka uniambie tangu lini 2.7 million households out of more than 10 million households zishaikuwa 84%. Ebu nieleze nielewe.
Naona unawafinyilia sana
 
nilichogundua wakunya wamesoma lakini hawajaelimika
vile tuu watu wanashindwa kuwa'ignore tusije kubakia pekeyetu humu
ila nnegundua tunadeal na wapumbavu kwenye mambo sensitive
 
nilichogundua wakunya wamesoma lakini hawajaelimika
vile tuu watu wanashindwa kuwa'ignore tusije kubakia pekeyetu humu
ila nnegundua tunadeal na wapumbavu kwenye mambo sensitive
Wasaidie wenzio kudadavua swala la umeme..
Kweli 2.7 kati 10 ni 84%
 
Back
Top Bottom