ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
umesha zidisha kwa watu wanaoishi kwenye nyumba ukapata idadi kamili au ikiambiwa nyumba million mbili na laki saba unajua kila nyumba moja anaishi mtu mmoja au akili huna wewe😂😂😂😂Wewe kweli mbumbumbu. You can have access to electricity but you are not connected. Here we are more concerned about the total number of people CONNECTED to electricity, sio watu wanaoona nguzo za stima zikipita kilometer kumi kutoka waliko ila hawatumii umeme majumbani mwao. Tanzania mko na watu 2mln wanaotumia umeme ila Kenya kuna watu 6mln. Huoni kwamba argument yako ni ya kijinga?
tuchukulie gorofa moja lina floor 10 na wanaishia watu 60 humo ndani hao idadi yao imejumlishwa???
shulenu hua munasoma nn nyinyi