Ndekrepha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2020
- 1,506
- 2,664
Ndio useme hapo 2017 inasoma kilometa ngapi na kwanini kilometa zipungue 2018 na 2019..Wewe unaona nini?
Ndio useme hapo 2017 inasoma kilometa ngapi na kwanini kilometa zipungue 2018 na 2019..Wewe unaona nini?
Siezikuwa na maumivu hata kidogo, nyinyi ndio mko na maumivi ya kuona kuwa paved roads za Kenya inadouble za TanzaniaNaona unatoa maneno ya maumivu..
Kwhyo bridge mpka iwe mtoni au baharini[emoji23][emoji23][emoji23]Hawana bridges so kila kitu ambacho hawakielewi wanakiita bridge, wasameheni jamani. Hata bridge kama salender tu hawana.
Yani hii ni aibu kubwa, hivi vidata vyao huwa wanaviedit wenyewe tatizo huwa wanajisahau angalia ss kaumbuka na hawezi kujibu yn badala paved roads ziongezeke ndo kwnz zinapungua [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ndio useme hapo 2017 inasoma kilometa ngapi na kwanini kilometa zipungue 2018 na 2019..
Hahahaha itungie kabisa songiii lakini kwa WB hamchomoki 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuletee hyo taarifa yenu basi ambayo haina unclassified..Unajuwa ww wkt mwngne uwe na akili, kwa mujibu wa hyo table yako inaonesha Grand total yn ya international trunk roads, national trunk roads, primary roads, secondary roads, minor roads, special purpose na unclassifiedd roads.
Ila cc huwa tunahesabu international, national trunk roads, secondary and primary roads only but tukisema tupige grand total mtakimbiana humu mana Tz ni kubwa sana na eneo kubwa la road network liko paved.
Let me give a link hiyo swali ulize watu TANROAD and TNBS.Ndio useme hapo 2017 inasoma kilometa ngapi na kwanini kilometa zipungue 2018 na 2019..
Ndo uwaambie wakunya wenzako waache execuses za kijinga eti Nairobi hakuna bahari.Kwhyo bridge mpka iwe mtoni au baharini[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli nyie bongolala..
Je yale ya watu kutembelea sio bridge tena
Unahangaika wewe kutuaminisha uwongo huku unajua ukweli...Mtanzania huwa adanganyiki....Utahangahika sana.View attachment 1600185
🤣🤣🤣 Tatizo ya hivi vidata vyao vinapikwa na kichwa maji 😁😁😁😁Yani hii ni aibu kubwa, hivi vidata vyao huwa wanaviedit wenyewe tatizo huwa wanajisahau angalia ss kaumbuka na hawezi kujibu yn badala paved roads ziongezeke ndo kwnz zinapungua [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Jamaa wanahangaika kweli kweli, mara wajaribu Wikipedia, mara wajaribu gazeti, mara wajaribu World Bank.Tuletee hyo taarifa yenu basi ambayo haina unclassified..
Jamae wameshaanza ku change mafaili hku[emoji23][emoji23]
Km ww kweli uliingia class hebu niambie hiki kipeperushi kipo sawa na usipojibu sawa sawa wacha kuniquote mana utakuwa unaongelea kitu usichojuaTuletee hyo taarifa yenu basi ambayo haina unclassified..
Jamae wameshaanza ku change mafaili hku[emoji23][emoji23]
Tazama boko ulilotoa leo yn ww huwezi maliza cku bila boko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa wanahangaika kweli kweli, mara wajaribu Wikipedia, mara wajaribu gazeti, mara wajaribu World Bank.
Sasa TNBS tena imekwa wakenya? 🤣 🤣🤣🤣🤣 Tatizo ya hivi vidata vyao vinapikwa na kichwa maji 😁😁😁😁
That table is self explanatory. Wewe kama huielewi basi unataka maombi. If you are doubting pitia hapaTazama boko ulilotoa leo yn ww huwezi maliza cku bila boko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1600209
Hyo ni nn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Great, that article shud tell you something, roads nyingi hapo hazipo hata local roads report yake mpya haipo[emoji3][emoji3]
Haitokuja kutokea...Mnaweka na unpaved roads..🤣🤣🤣 Sijui elimu iliwasaidia Nini...Na bado sindano tunazidi kuwachomeka...Miaka mitano ijayo mtakuwa mnachechemea...🤣🤣🤣Siezikuwa na maumivu hata kidogo, nyinyi ndio mko na maumivi ya kuona kuwa paved roads za Kenya inadouble za Tanzania
Hahahaha mzizi wa fitina umefyekelewa mbali na WB, nilikuambia wanaowapa pesa za kujenga ndio wanaongea ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣😆🤣😆🤣Jamaa wanahangaika kweli kweli, mara wajaribu Wikipedia, mara wajaribu gazeti, mara wajaribu World Bank.
Nimeangalia hk kipeperushi ndo naona maboko yanazidi kuongezeka yn paved badala ziongezeke zinapungua alafu unpaved badala zipungue zinaongezeka, inawezekana ardhi ni kiumbe hi kunakuwa na kufa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tatizo ya hivi vidata vyao vinapikwa na kichwa maji [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Achana na link, wewe niambie kwenye hiyo shot umepost ni kwanini Km za lami zimepungua badala ya kuongezeka?Let me give a link hiyo swali ulize watu TANROAD and TNBS.
https://www.nbs.go.tz/nbs/takwimu/references/Tanzania_in_Figures_2019.zip