Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa hivi ATCL wangefanya makubaliano na etihad ili ATCL iende abu dhabi hata mara 3 kwa wiki,maana sasa hivi etihad aifiki dar,inaishia kunyaland hlf kq ndio inawaleta abiria wa dar
Kweli kabisa. Ila haitakua ngumu kweli? Maana naona kama waliingia makubaliano yakindezi na wakunya. Dawa yao ni kuingia makubaliano na fly emirates ili waumie kiaina.
 
Tutazoea..na tutahiatji more and more tutaanza kuona ni kawaida..

Mfano Terminal 3 Dar na Zanzibar ni kali so tutaziozea kuona za kawaida..so Msalato itakuwa kali zaidi .

Benjamin Mkapa Stadium ni ya kawaida sa hizi na tushaiozea ..60k watu wanajaza..So Our New National Stadium in dodoma utakuwa Bab kubwa with more than 80k seats..

SGR ikianza ku run..tutataka standard iwe SGR NK hii inasaidia kuongeza Chachu ya maendeleo....

In Next 5 yrs we are about to witness A major upgrade Rocket like...kuliko tuliyoiona miaka mitano iliyopita....cause serikali inafanyaga kazi zaidi awamu ya pili kuliko ya kwanza..

My Hope is that..Deal La LNG litakamilika, Deal la 1bn usd fertilizer plant litaisha, Reli ya Mtwara Mbamba Bay ..itaanza..hii itasaidia kukuza uchumi wa southern Regions -Lindi,Mtwara ,Ruvuma na Moro..upande huu hujapata stimulus mda mrefu...

Nategemea pia Iron mining itaaza Liganga..hizo ndo game changer..zitazoboost kipato cha watu miaka ijayo


Mwenyezi Mungu Atujalie Afya na Amani miaka inayokuja na uchaguzi huu tupite vizuri..tu enjoy mafanikio
🙏 Amina
 
kikihboy ameshawapongeza. Mimi pia nimewapongeza. Kwani sisi sio Wakenya? Ninyi wenyewe ndio mliwafukuza Wakenya wengine katika uzi huu. Kwa hivyo mjilaumu wenyewe. Msilaumu Wakenya kwa kutelekeza uzi huu.
Tony mm binafsi nilishawahi kusema humu kwamba kwa jinsi hali ilivyokuwa inaenda ilikuwa lazima Wakenya wakimbie huu uzi na tubaki pekee etu cz kasi yetu ya maendeleo ni kubwa mno utakuta ninyi Wakenya mnapost vitu vile vile lkn cc tunapost vitu vipya so hapo ilikuwa lazima mpoteze hamu ya hii battle.

Pia viongozi wenu wanawaangusha sn mfano utakuta Wakenya humu mkiongozwa na mk254 mnatamba kuwa serikali yenu itafanya hv lkn mwisho wa siku haifanyi hivyo na zaidi ile hali ya kuonesha udhaifu dhidi ya serikali ya Tanzania pia imezdsha kuwa discourage Wakenya na ndiyo maana mkapoteza hamu na Jf nzima wala co tu huu uzi.
 
Tony mm binafsi nilishawahi kusema humu kwamba kwa jinsi hali ilivyokuwa inaenda ilikuwa lazima Wakenya wakimbie huu uzi na tubaki pekee etu cz kasi yetu ya maendeleo ni kubwa mno utakuta ninyi Wakenya mnapost vitu vile vile lkn cc tunapost vitu vipya so hapo ilikuwa lazima mpoteze hamu ya hii battle.

Pia viongozi wenu wanawaangusha sn mfano utakuta Wakenya humu mkiongozwa na mk254 mnatamba kuwa serikali yenu itafanya hv lkn mwisho wa siku haifanyi hivyo na zaidi ile hali ya kuonesha udhaifu dhidi ya serikali ya Tanzania pia imezdsha kuwa discourage Wakenya na ndiyo maana mkapoteza hamu na Jf nzima wala co tu huu uzi.
mambo yenyewe ndio kama haya watakaa kweli humu ndani 😂😂👇👇

 
bloom..Happy new month....
Screenshot_20201001-001628.jpg
JamiiForums-1032483570.jpg
JamiiForums-506607483.jpg
Screenshot_20201001-001541.jpg
Screenshot_20201001-072214.jpg
Screenshot_20201001-072158.jpg
Screenshot_20201001-072147.jpg
Screenshot_20201001-070910.jpg
Screenshot_20201001-072138.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20201001-072214.jpg
    Screenshot_20201001-072214.jpg
    20.3 KB · Views: 7
  • Screenshot_20201001-072158.jpg
    Screenshot_20201001-072158.jpg
    18.6 KB · Views: 6
Aiseh
Hyo loading ni bomb moja hatari
1.Tanzanite Bridge U/C
2.BRT Phase 2 U/C
3.Morroco -Mwenge 6-8 lanes U/C
4.Kimara- Kibaha 8-10lanes U/C
5.SGR Bridge U/C
6.Gerezani Flyover U/c
7. Dar Port Expansion U/C
8.


Coming soon Next Year
1.BRT Phase 3 and More likely Phase 4
2. Msimbazi River Development Project ..I hope watanyanyua na jangwani lets see
3 .Changombe Flyover i think washaanza kujenga
4.Morroco Flyover on planning
5.Kamata Flyover on planning
6.Kigamboni Football Pitchs (Cash and Contract already)
7.Indoor Arena hii iko on plan
8.Kawe-Morroco road expansion to 2*2
Uhasibu flyover
 
8lanes Kibaha- Chalinze 75km
Sasa ni awamu ya Nairobi
Under construction
1.Nairobi expressway (27km)& overpass (11km)..10-16lanes
2.western bypass (20km) 8lanes
3.Ngong road phase 2 (15km) 4 lanes
4.westlands to limuru superhighway (23km) 10 lanes
5.BRT phase 1 (50km)..contractors on site ready for the job
6.commuter railway..DMUs coming soon

Coming soon
1.overpasses at
*ngong road (two of them)
*valley road
*mbagathi road
*Enterprise road-CBD
2.Jkia-CBD railway line(Uhuru ako France Leo hii kwa hio deal yenye pia limuru-Nakuru-mau summit highway(2*2 lanes,178km) iko hapo)
3.BRT phase II
4.Dualing Eastern and Northern bypass
 
8lanes Kibaha- Chalinze 75km
Sasa ni awamu ya Nairobi
Under construction
1.Nairobi expressway (27km)& overpass (11km)..10-16lanes
2.western bypass (20km) 8lanes
3.Ngong road phase 2 (15km) 4 lanes
4.westlands to limuru superhighway (23km) 10 lanes
5.BRT phase 1 (50km)..contractors on site ready for the job
6.commuter railway..DMUs coming soon

Coming soon
1.overpasses at
*ngong road (two of them)
*valley road
*mbagathi road
*Enterprise road-CBD
2.Jkia-CBD railway line(Uhuru ako France Leo hii kwa hio deal yenye pia limuru-Nakuru-mau summit highway(2*2 lanes,178km) iko hapo)
3.BRT phase II
4.Dualing Eastern and Northern bypass
 
Sasa ni awamu ya Nairobi
Under construction
1.Nairobi expressway (27km)& overpass (11km)..10-16lanes
2.western bypass (20km) 8lanes
3.Ngong road phase 2 (15km) 4 lanes
4.westlands to limuru superhighway (23km) 10 lanes
5.BRT phase 1 (50km)..contractors on site ready for the job
6.commuter railway..DMUs coming soon

Coming soon
1.overpasses at
*ngong road (two of them)
*valley road
*mbagathi road
*Enterprise road-CBD
2.Jkia-CBD railway line(Uhuru ako France Leo hii kwa hio deal yenye pia limuru-Nakuru-mau summit highway(2*2 lanes,178km) iko hapo)
3.BRT phase II
4.Dualing Eastern and Northern bypass
Ndio hela imeenda kuchukuliwa Parii?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa ni awamu ya Nairobi
Under construction
1.Nairobi expressway (27km)& overpass (11km)..10-16lanes
2.western bypass (20km) 8lanes
3.Ngong road phase 2 (15km) 4 lanes
4.westlands to limuru superhighway (23km) 10 lanes
5.BRT phase 1 (50km)..contractors on site ready for the job
6.commuter railway..DMUs coming soon

Coming soon
1.overpasses at
*ngong road (two of them)
*valley road
*mbagathi road
*Enterprise road-CBD
2.Jkia-CBD railway line(Uhuru ako France Leo hii kwa hio deal yenye pia limuru-Nakuru-mau summit highway(2*2 lanes,178km) iko hapo)
3.BRT phase II
4.Dualing Eastern and Northern bypass
Safi tunahitaji mambo km haya ili mtupe challenge co daily cc tu tutavimba kichwa zen tutabaki pale pale
 
Back
Top Bottom