beckselina
Member
- Feb 21, 2013
- 50
- 41
Hadi ifike 2022 wapo hoielection ni 2022 ila joto lake lipo 2020
Hadi ifike 2022 wapo hoielection ni 2022 ila joto lake lipo 2020
Migomo kila pembe
Tu ta adapt pole pole tu .. Kama kawaida africahaya yote yanawezekana. shida ipo ni corrupt leaders ambao wana nia ya kukitajirisha na kula mali ya umma tu bila kufikiria hali ya wengine. tungekuwa na viongozi wanaofikiria miaka 50 zijazo kama Elon Musk tusingekuwa hivi kama Africa.
ila wananchi wanajaribu hata kushinda serikali badala ya vise versa. mfano huku Kenya kuna enterprises nyingi zinakubali kulipwa na crypto currency including matatus na hata butcheries ambayo nimeyaona mimi mwenyewe.
Fundi Mbwilo anaforge block mwenyewe anachonga Piston we unasema Nyumbu!? 🙂 Na nakwambia tutatoa magari mazuri na engine swafi tutaziita kifaru tuone kama hamnunui..Kujenga body ni kazi rahisi. Mkianza kutengeneza engine uniite. Morocco na SA ndio nchi zinazoweza kutengeneza engine ya gari kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Hao jamaa ni nouma
2022 watakuwa intoxicated enough with hatred n ready "on set go" to fight!Hadi ifike 2022 wapo hoi
Watu ndo wajue elimu ya Tanzania kiboko. Hawa panya wa SUA wamesidia sana kutegua mabomu Angola. SUA pia wanapanya wanaoweza kutambua samples za TB, accuracy yao ni kubwa na wanatambua haraka sana kuliko hata kutumia x ray ambayo usomaji wake una human error.
You all ready did!Watu ndo wajue elimu ya Tanzania kiboko. Hawa panya wa SUA wamesidia sana kutegua mabomu Angola. SUA pia wanapanya wanaoweza kutambua samples za TB, accuracy yao ni kubwa na wanatambua haraka sana kuliko hata kutumia x ray ambayo usomaji wake una human error.
Mimi ni mwamini sana wa ku blend teknolojia ya viumbe hai na ya kisasa ili kutatua matatizo yetu (mf kutumia mbwa kupima kisukari). Tunaweza hata kuwa train bundi kuweza kunusa hormons zinazotoka mtu aliye na wasi wasi (suspects) kwenye maeneo sensitive kama airport. Bundi huwa wanauwezo wa kunusa harufu inayotokana na metabolic activities za mtu anayekaribia kufa, tena akiwa mbali sana. Hawa wanaweza kuwa trained kujua kama mtu yuko nervous au kama anaficha kitu.
Tunaweza kutrain wanyama wenye sifa mbali mbali ili watusaidie kuvumbua sehemu yenye madini, mafuta na hata gesi bila ya kuagiza teknolojia nje kwa bei ghali. Anyways, maybe I need to shut up before I give nyang'au a billion dollar idea 😉
Leo wauguzi zaidi ya elfu tano kenya KNH wameandamana wanadai mishahara na marupurupu yao.
Tatizo lao hawaamini kitu mpaka waliowashikia mapembe waseme (ref Corona).You all ready did!