Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na hapo ndio utajua pengine hizo 2700mw ni zakwenye makaratasi...haningi akilin umeme huu nabado wananunua, walisema hawawez kunga sgr kwa umeme sababu ya umeme ndgo yet wana operate under surplus
Sisi tuna surplus. Sasa unapinga? Halafu mbona umewacha kuandika kwa kukata maneno?
 
Sio ghali kumaintain. Ni ghali kuchimba na kujenga kiwanda chenyewe. Inahitaji a huge capital outlay ambayo nchi masikini kama yenu haiwezi kupata. Nchi tajiri tu ndio inayoweza kuchimba na kujenga geothermal. Kumbuka unaweza kuchimba shimo hata kumi na kukosa geothermal na kupoteza pesa nyingi. Inahitaji expertise ambayo nyinyi hamna.
Yn mtu akisoma unavyo andika anaweza kuzimia....kwaiyo nyie ndio nchi tajiri [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji706] km ulimbukeni niutajiri basi nyie mko vyema snaa
Screenshot_20200826-161824.jpg
 
Hio ya Moyale haijafika hata megawati moja, ndio maana sitaihesabu. Sisi tunangoja laini ya umeme ya direct current ikamilike tuanze kupokea 400 MW kutoka Ethiopia. Grand Ethiopian renaissance dam ya Ethiopia iko karibu kukamilika.
hujahesabu lakini serikali yako inahesabu!
 
Kuanzia mwaka wa 2017 mlikuwa mnaongea kuhusu mradi wa kusambaza gesi majumbani. Sasa mwaka wa 2020 unaisha, kumbe mumesambaza gesi kwa nyumba 500 tu? Kweli malazy mnashangaza.
Hahahaha, lazima muanze kwa kufanya "Pilot project", baada ya kujiridhisha kwamba ni " Economically viable", sasa ndio tunaanza kwa nchi nzima.

Hivi Galana Kulalu limechukua muda gani?, Silicon city?, Konza and Tallest building in Africa?, Lamu Port? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hio ya Moyale haijafika hata megawati moja, ndio maana sitaihesabu. Sisi tunangoja laini ya umeme ya direct current ikamilike tuanze kupokea 400 MW kutoka Ethiopia. Grand Ethiopian renaissance dam ya Ethiopia iko karibu kukamilika.
Nikajua mnauza nyie kumbe mnanunua ...alafu uko exited sn....wakat mna operate under surplus ...shida ya kuto tumia akili mbaya snaaa
 
Sisi tuna surplus. Sasa unapinga? Halafu mbona umewacha kuandika kwa kukata maneno?
Yet mnaendelea kununu ...alafu unasema sisi tutapata hasara[emoji16].....ilo la kiswahil sina haja ya kukujib sababu Wa Tz tunakijua kiswahil vilivyo hivyo tunaweza cheza nacho tutakavyo ...bila kupoteza mana pole[emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
Hio ya Moyale haijafika hata megawati moja, ndio maana sitaihesabu. Sisi tunangoja laini ya umeme ya direct current ikamilike tuanze kupokea 400 MW kutoka Ethiopia. Grand Ethiopian renaissance dam ya Ethiopia iko karibu kukamilika.
Hutahesabu wewe na nani?
 
Hio ya Moyale haijafika hata megawati moja, ndio maana sitaihesabu. Sisi tunangoja laini ya umeme ya direct current ikamilike tuanze kupokea 400 MW kutoka Ethiopia. Grand Ethiopian renaissance dam ya Ethiopia iko karibu kukamilika.
Moja ya sababu inayofanya serikali yenu ianze kupokea hizo 400 MW kutoka Ethiopia ni kwa sababu serikali yenu inataka kupunguza kutegemea umeme unaozalishwa kutoka kwenye geothermal...according to serikali yenu,

Hivi huoni namna serikali yenu inavyo weweseka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Moja ya sababu inayofanya serikali yenu ianze kupokea hizo 400 MW kutoka Ethiopia ni kwa sababu serikali yenu inataka kupunguza kutegemea umeme unaozalishwa kutoka kwenye geothermal...according to serikali yenu,

Hivi huoni namna serikali yenu inavyo weweseka [emoji23][emoji23][emoji23]
miradi ya tembo mweupe! hii nchi ni ya kifalafala saana!
 
miradi ya tembo mweupe! hii nchi ni ya kifalafala saana!
Halafu wanafungua thread za kuchekelea geothermal huku wakiandika kejeli za kijinga meanwhile serikali yao inasema inataka kupokea umeme kutoka Ethiopia ili wapunguze kutegemea umeme unaozalishwa kutoka kwenye geothermal [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha, lazima muanze kwa kufanya "Pilot project", baada ya kujiridhisha kwamba ni " Economically viable", sasa ndio tunaanza kwa nchi nzima.

Hivi Galana Kulalu limechukua muda gani?, Silicon city?, Konza and Tallest building in Africa?, Lamu Port? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Konza nilipost picha juzi kwani hukuiona?
 
Moja ya sababu inayofanya serikali yenu ianze kupokea hizo 400 MW kutoka Ethiopia ni kwa sababu serikali yenu inataka kupunguza kutegemea umeme unaozalishwa kutoka kwenye geothermal...according to serikali yenu,

Hivi huoni namna serikali yenu inavyo weweseka [emoji23][emoji23][emoji23]
Uongo. Leta evidence. Hii sio kamati ya watoto. Hapa ni kwa watu wazima. Ukisema jambo fuatiliza na ushahidi.
 
Back
Top Bottom