Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya kujeni mumsaidie mwenzenu mbn mnamuacha pekeake kwnn hampendi ushirikiano nyie watu, mnasubiri mada inayo wa favour ndo mnachangia ila mada ikiwa inawabana mnatengana.

Sisi wenzenu tunapoona mTz mwenzetu anabananishwa tunaingia kum help mana mtu huwezi kujua kila kitu ila nyie mwenzenu Tony kabanwa huku mnamuangalia km hamumuoni vilee Wakenya bhn
 
Halafu wanafungua thread za kuchekelea geothermal huku wakiandika kejeli za kijinga meanwhile serikali yao inasema inataka kupokea umeme kutoka Ethiopia ili wapunguze kutegemea umeme unaozalishwa kutoka kwenye geothermal
Nimesema uweke evidence sio kupotosha malazy wenzako.
 
Wakenya kujeni mumsaidie mwenzenu mbn mnamuacha pekeake kwnn hampendi ushirikiano nyie watu, mnasubiri mada inayo wa favour ndo mnachangia ila mada ikiwa inawabana mnatengana.

Sisi wenzenu tunapoona mTz mwenzetu anabananishwa tunaingia kum help mana mtu huwezi kujua kila kitu ila nyie mwenzenu Tony kabanwa huku mnamuangalia km hamumuoni vilee Wakenya bhn
Sihitaji msaada. Mimi ni spartan na nyie ni persians. Kama umeitazama sinema ya the 300 utanielewa.
 
Uongo. Leta evidence. Hii sio kamati ya watoto. Hapa ni kwa watu wazima. Ukisema jambo fuatiliza na ushahidi.
Hivi unadhani una argue na watoto humu?

According to EPRA, Kenya will this year import 200 Megawatts from Ethiopia, which will go a long way in stabilizing electricity prices, by limiting dependence on thermal power plants.
 
Sihitaji msaada. Mimi ni spartan na nyie ni persians. Kama umeitazama sinema ya the 300 utanielewa.
Wewe ulivyo 90% DNA composition yako ni Tanzania, una busara na mara nyingi unazungumza ukweli. Fuatilia huu mjadala unavyokwenda kwa busara, sasa subiri Kenyans original waanze kuchangia utaona utakavyokua.
 
Ethiopia hawatoweza kuzalisha umeme wa kutosha na inawezekana lile bwawa lao lisizalishe kabisa, Egypt na Sudan waneazimia kulivunjavunja kama wataendelea kulijaza, USA juzi imewaunga mkono.
Wewe hujafuatilia kinachoendelea huko. Ethiopia wameshajaza bwawa kwa awamu ya kwanza. Mwaka ujao pia wataujaza kwa awamu ya pili. Egypt ilisema kuwa itailipua bwawa pindi tu Ethiopia watakapoijaza ila hawakufanya hivyo wakati Ethiopia walikiuka amri na kuujaza. Marekani amepunguza msaada anayotuma Ethiopia ila Egypt wamenyamaza. Tazama bwawa unavyofanana sasa hivi

Screen Shot 2020-09-23 at 4.03.47 AM.png
 
Hivi unadhani una argue na watoto humu?

According to EPRA, Kenya will this year import 200 Megawatts from Ethiopia, which will go a long way in stabilizing electricity prices, by limiting dependence on thermal power plants.
Kwa hivyo huyu nyumbu anadhani thermal power ni the same na geothermal power? Hahaha. Jifunze tofauti ya hizo power sources mbili. Thermal ni 20 us cents per unit ilhali geothermal ni 8 us cents per unit.
 
Kama ni kweli basi hongera.
Wapo vizuri sana, kumbuka walianza toka 1970s, hawajaanza Leo, tatizo baada ya Nyerere kuondoka madarakani viongozi waliofuata hawakutoa kipaumbele, hawakua wakipata pesa walizokua wanahitaji. Jiwe amekuja na mapinduzi ya viwanda, anataka Jeshi na SUMA JKT ndio waongoze hilo zoezi la mapinduzi ya Viwanda. Sasa hivi Engineers toka JWTZ ndio wanafundishwa na waturuki jinsi ya kujenga reli, ninakuakikishia miaka 10 toka sasa JW ndio watakua wajenzi wakuu wa reli hapa Africa.
 
Wewe ulivyo 90% DNA composition yako ni Tanzania, una busara na mara nyingi unazungumza ukweli. Fuatilia huu mjadala unavyokwenda kwa busara, sasa subiri Kenyans original waanze kuchangia utaona utakavyokua.
Huwa napenda mjadala uliostaarabika. Nangoja kumfunza huyo babayao255 tofauti ya thermal na geothermal power ndio niende.
 
Wewe hujafuatilia kinachoendelea huko. Ethiopia wameshajaza bwawa kwa awamu ya kwanza. Mwaka ujao pia wataujaza kwa awamu ya pili. Egypt ilisema kuwa itailipua bwawa pindi tu Ethiopia watakapoijaza ila hawakufanya hivyo wakati Ethiopia walikiuka amri na kuujaza. Marekani amepunguza msaada anayotuma Ethiopia ila Egypt wamenyamaza. Tazama bwawa unavyofanana sasa hivi

View attachment 1580166
Sasa kwani lazima walipue siku hiyo hiyo wanayojaza?, wanataka wapate uhalali wa kuungwa mkono na dunia nzima, Ethiopia inadai kwamba kina cha mto Nile hakitoathirika, Egypt na Sudan wanasema kitaathirika, wanadubiri hilo bwawa lijae hadi juu, kisha waangalie, kama kina kitapungua, then wataiambia dunia kwamba Ethiopia ilidanganya hivyo kuhalalisha mashambulizi, Egypt haitaki kuzikasirisha nchi za Africa, lazima kuwepo na ushahidi wa kutosha.
 
Unafahamu kuwa umeme unaozalishwa kutoka kwenye maji sio gharama ukilinganisha na hizo njia zingine mnazojisifia nazo?
Ni kweli umeme unaozalishwa kwenye maji ndio cheap kabisa. Kisha inafuatiwa na geothermal. Nataka kukufunza kuwa kuna tofauti kati ya geothermal na thermal power. Thermal power inatokana na burning of diesel na ndio bei ghali kabisa kwa power mix ya Kenya. Geothermal ni bei nafuu kushinda njia zingine isipokuwa hydro (maji). GOK inajaribu kufutilia mbali utumizi wa thermal power sources (diesel) kwa sababu ni bei ghali. Natumai umeelewa. Kwaheri
 
Ni kweli umeme unaozalishwa kwenye maji ndio cheap kabisa. Kisha inafuatiwa na geothermal. Nataka kukufunza kuwa kuna tofauti kati ya geothermal na thermal power. Thermal power inatokana na burning of diesel na ndio bei ghali kabisa kwa power mix ya Kenya. Geothermal ni bei nafuu kushinda njia zingine isipokuwa hydro (maji). GOK inajaribu kifutilia mbali utumizi wa thermal power sources (diesel) kwa sababu ni bei ghali. Natumai umeelewa. Kwaheri
Hakuna cha unafuu wala nini,

Kitu kinapokuwa ghali wakati kuna kitu cha bei rahisi huwezi sema bei nafuu wakati kuna ambayo sio ghali tena ambayo mnaweza kumudu,

Ni kwamba serikali yenu inapenda kufanya vitu kwa sifa bila kuangalia gharama,

Kwanini serikali yenu iangaike na hizo ge na the wakati njia za kuzalisha umeme tena za bei nafuu zipo!

Ndio maana mtaendela kuuziwa umeme kwa bei ghali hadi mpate akili.
 
Uongo. Leta evidence. Hii sio kamati ya watoto. Hapa ni kwa watu wazima. Ukisema jambo fuatiliza na ushahidi.
Hakuna kiswahili kinaitwa "fuatiliza" sikunyingine sema ambatanisha ..utakuwa umeongea vyema zaidi
 
Ni kweli umeme unaozalishwa kwenye maji ndio cheap kabisa. Kisha inafuatiwa na geothermal. Nataka kukufunza kuwa kuna tofauti kati ya geothermal na thermal power. Thermal power inatokana na burning of diesel na ndio bei ghali kabisa kwa power mix ya Kenya. Geothermal ni bei nafuu kushinda njia zingine isipokuwa hydro (maji). GOK inajaribu kufutilia mbali utumizi wa thermal power sources (diesel) kwa sababu ni bei ghali. Natumai umeelewa. Kwaheri
Uwezekano mkubwa wa Kenya ni kupata umeme kutoka Southern Africa kuliko huo wa Ethiopia, hilo bwawa ni kubwa sana lazima litapunguza maji ya mto Nile, labda wajaze nusu ya uwezo wake
 
Back
Top Bottom