Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kimara kibaha hio ni phase ya kwanza inakuja phase ya pili mpaka chalinze jumla itakua 90kms
105k mpk Chalinze..

Halafu mpaka Kibaha tayari ni km 40.. na ukipita naona miti ishaanza kukatwa kutoka TAMCO kwenda mlandizi...

Barabara ya zaramo connect ..toka Bagamoyo-Mlandizi-Ruvu Station mpaka Kisarawe yaja.. Mbwawa, Visiga, Zegereni, Zogowali, Soga Station. To start soon.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Pengine 2022 tukipata rais mjinga kama Moi ambaye hakujenga barabara sana ndio mtatupita. Sanasana nazingatia upana wa barabara.
na uhuru ndio mwerevu😂😂👇👇
2E7291F9-1DB7-4784-B5E0-37C3A51ECC2B.jpeg
 
Wacha nikupe mradi ambao upo Kenya ila haupo Tanzania. Tuna mradi wa wind power ambao inagenerate 310 MW. Hii ndio the biggest windpower project in Africa. Ilizinduliwa mwaka wa 2018 na iligharimu pesa za Kitanzania trilioni moja nukta tatu yaani Tsh 1.3 Trilion.
Pili tuna mradi wa kugenerate geothermal power. Kenya inaviwanda vinavyozalisha karibu 800MW kwa kutumia Geothermal. Kenya ni nchi ya nane duniani kwa kuzalisha umeme kwa kutumia Geothermal. Nyie hamna viwanda vya kuzalisha umeme vya Geothermal na pia hamna viwanda vya kuzalisha umeme kutumia upepo ambavyo vina ukubwa kama wa Kenya
Sasa kama tunajenga Hydroelectric dam ambayo is the cheapest source of electricity, sasa hizo expensive sources zina umuhimu gani?.

Pili hao wanaojenga hizo zote ni private companies sio GoK, umeme utakua ghali sana, hautokua na manufaa kwa wananchi.

Kusanya hiyo miradi yenu yote haifikishi hata nusu ya umeme tutakaozalisha kutoka katika bwawa tunalojenga.

Sisi tunazakisha umeme toka kwenye vyanzo vya gesi ambavyo ninyi Hanna
 
Sasa kama tunajenga Hydroelectric dam ambayo is the cheapest source of electricity, sasa hizo expensive sources zina umuhimu gani?.

Pili hao wanaojenga hizo zote ni private companies sio GoK, umeme utakua ghali sana, hautokua na manufaa kwa wananchi.

Kusanya hiyo miradi yenu yote haifikishi hata nusu ya umeme tutakaozalisha kutoka katika bwawa tunalojenga.

Sisi tunazakisha umeme toka kwenye vyanzo vya gesi ambavyo ninyi Hanna
Windpower ndio private investors wanajenga ila Geothermal power ni serikali ya Kenya kupitia KenGen ndio inayosimamia ujenzi wa Geothermal power projects zote.
 
105k mpk Chalinze..

Halafu mpaka Kibaha tayari ni km 40.. na ukipita naona miti ishaanza kukatwa kutoka TAMCO kwenda mlandizi...

Barabara ya zaramo connect ..toka Bagamoyo-Mlandizi-Ruvu Station mpaka Kisarawe yaja.. Mbwawa, Visiga, Zegereni, Zogowali, Soga Station. To start soon.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Endeleeni kujipiga kifua ila nachojua ni kuwa barabara ya 100 km ya leni nane halitawahi kuja kujengwa Afrika Mashariki kwa miaka thelathini zijazo. Hatuna magari ya kutosha ya kujustify such heavy investments.
 
90km ya 8 lanes? Wacha uongo

Sasa hutaki? ngoja JPM akienda Dar kwa kampeni ataiongelea! Kuna ile inatoka Chalinze then inakuja kuunga na highway (outer ring road) mpaka Kigamboni Bridge kuingia Bandarini! yaani inatokea Northwestern of Dar inakuja kuingilia Dar port from Southern of Dar ( to be specific via Kigamboni creek), an outer ring road!

So far all other sections r on the works only this road remains and the "outer ring" will be completed with a bridge/tunnel connection btn Kigamboni creek and Kivukoni creek as Nyerere bridge is complete and Tanzanite bridge alias Selander bridge is over 50% U/C.

Knowing how busy is Kivukoni channel (international ships navigate to the Port of Dar), i prefer a tunnel on that section! Traffic at the CBD will be big time dealt upon as trucks to Dar port will have to avoid passing through the inner city! Even traffic from Bagamoyo will Dar avoid inner city esp. trucks!

Mind u aside Dar and Dodoma cities, Arusha, Mwanza and Mbeya cities have similar plans i.e. ring roads at different stages! Mwanza Kigongo Busisi bridge is a section of that ring road while Arusha bypass road is a part of Arusha city ring road.

12319349-14_page-0001.jpg




12319349-46_page-0001.jpg


Dodoma city Masterplan
ECd_bgjX4AEjJAj



Arusha city masterplan
Screenshot 2020-09-25 18.44.27.png


Mwanza city Masterplan
12109803_910156565731624_1354432149081453460_o.jpg



Mbeya city Masterplan
Uyole Bus Terminal_Mbeya_Submission_ 4 Nov 18-19_page-0001.jpg









View Project

Mwanza 2035
 
Endeleeni kujipiga kifua ila nachojua ni kuwa barabara ya 100 km ya leni nane halitawahi kuja kujengwa Afrika Mashariki kwa miaka thelathini zijazo. Hatuna magari ya kutosha ya kujustify such heavy investments.
Bado hujapita Morogoro road. Chalinze dar inakusanya Korido za Mombasa-Tanga,Segera. , Taveta-holili - Himo, Namanga-Arusha-Moshi-Himo-Segera-Chalinze
Kusini inakusanya TAZAM yote na Congo.. Kati inakusanya toka eastern Congo, Uganda, Rwanda, Burundi na mikoa yote ya kati.. mpaka Morogoro.

View Project

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wacha nikupe mradi ambao upo Kenya ila haupo Tanzania. Tuna mradi wa wind power ambao inagenerate 310 MW. Hii ndio the biggest windpower project in Africa. Ilizinduliwa mwaka wa 2018 na iligharimu pesa za Kitanzania trilioni moja nukta tatu yaani Tsh 1.3 Trilion.
Pili tuna mradi wa kugenerate geothermal power. Kenya inaviwanda vinavyozalisha karibu 800MW kwa kutumia Geothermal. Kenya ni nchi ya nane duniani kwa kuzalisha umeme kwa kutumia Geothermal. Nyie hamna viwanda vya kuzalisha umeme vya Geothermal na pia hamna viwanda vya kuzalisha umeme kutumia upepo ambavyo vina ukubwa kama wa Kenya
Unasema hatuna viwanda vyenye geothermal na wind power kuwazd lkn vipo ss hyo ndiyo tofauti mkuu kwmb miradi yenu yote mnayofanya Tz ipo ila kuna miradi inafanyika Tz but kenya haipo.
 
Back
Top Bottom