Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani hata sehemu ambayo Tanzania haihusiki lazima tu wajilinganishe,

Halafu utasikia wanabwabwaja eti Watanzania wanaifuatilia kenya [emoji23][emoji23][emoji23]

Ukweli wakenya wamechoshwa sana na serikali yao, jambo la kushangaza wameanza kuwashabikia Raila na Rutto, ambao ni walewale, Kenya itaendelea kupata taabu sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mtwara-bambabay itajengwa kwa PPP mean GOT haitogharamika Sana .
Musoma -arusha-tanga nayo imepangwa kujengwa through PPP..
Got in coming 5 years inakomaa tu na central basi labda na commuter kwa dar na Dom kama hawatatumia ubia maana hizo sijui..
Sasa Geza zinaingilianaje hapo ?
Kupitia Musoma na ziwani kwenda uganda ni shortest root kuliko hata Mombasa na kuuunganisha sgr central ni longest sema kwa modern SGR time itapunguza hicho kitu na ujue mizigo ya uganda 90% haipiti tz bado unazani kuuunganisha central line nao itabeba mizigo yao yote ?

Swali halikujikita kwenye nini kitekelezwe au kina tekelezwa lilijikita kwenye kuuliza output ya sgr ya Musoma to Tanga kama njia bikra kabisa na nyepesi kuliko zote atakazokuwa nazo uganda!!
Tangu early 90's serikali ya uganda ilikuwa inaishawishi sana serikali ya Tanzania kujenga reli kutoka Tanga port hadi Musoma kwa ajili ya kurahisisha usafirishaji wa bidhaa toka uganda kwenda ng'ambo na pia toka ng'ambo kwenda uganda. Na kwa wakati huo wazo la kujenga SGR halikuwepo hivyo gharama zisingekuwa kubwa sana maana reli ilikuwa tayari ipo toka Tanga hadi Arusha. Kilichokuwa kinatakiwa ni kuifufua reli ya Tanga hadi Arusha (kama alivyofanya JPM) na kujenga mpya tyoka Arusha hadi Musoma port. Tatizo lilikuwa ni upande wa Tz haukuwa tayari kwa wakati huo na hii reli iliongelewa miaka mingi sana hadi kwenye kumbukumbu za bunge hili suala lipo.
 
Tangu early 90's serikali ya uganda ilikuwa inaishawishi sana serikali ya Tanzania kujenga reli kutoka Tanga port hadi Musoma kwa ajili ya kurahisisha usafirishaji wa bidhaa toka uganda kwenda ng'ambo na pia toka ng'ambo kwenda uganda. Na kwa wakati huo wazo la kujenga SGR halikuwepo hivyo gharama zisingekuwa kubwa sana maana reli ilikuwa tayari ipo toka Tanga hadi Arusha. Kilichokuwa kinatakiwa ni kuifufua reli ya Tanga hadi Arusha (kama alivyofanya JPM) na kujenga mpya tyoka Arusha hadi Musoma port. Tatizo lilikuwa ni upande wa Tz haukuwa tayari kwa wakati huo na hii reli iliongelewa miaka mingi sana hadi kwenye kumbukumbu za bunge hili suala lipo.
sasa mbona muda huu hawatumi delegation kuja kusaini agreement ya ku-join Uganda SGR na Tanzania SGR? Hii central corridor is for now enough maana Uganda's economy is orienting itself to oil ediscoveries! The oil fields r in the Western Uganda already Hoima is growing fast as a result of oil fields they r having an oil economy! If the SGR to Hoima is to be build, is to pass via Masaka why having 2 SGRs while the same SGR can branch to Kampala from Masaka and can link up with Rwanda SGR at Keza? Aside that is another option via ferry wagons from Mwanza? I strongly believe in the next 10 years i don't see a need for Musoma-Arusha SGR!
 
Uganda kwa sasa haitashughulika wala haitaji reli yoyote zaidi ya SGR hadi Mwanza via Lake Victoria to Port bell, hii ya Tanga Musoma alikua akitaka kwa sababu Central corridor ilikua imekufa, sasa hivi Central corridor kuna reli mbili zote zinafanya kazi vizuri, hawezi kushughulika na reli yoyote tena kwa upande wa Tanzania, Sana sana anakarabati MGR hadi Malaba kuunganisha na Mombasa ili awe na alternative port. Kipaumbele cha Uganda kwa sasa ni bomba la gesi toka Tanzania ili akavune chuma chake.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Uganda kwa sasa haitashughulika wala haitaji reli yoyote zaidi ya SGR hadi Mwanza via Lake Victoria to Port bell, hii ya Tanga Musoma alikua akitaka kwa sababu Central corridor ilikua imekufa, sasa hivi Central corridor kuna reli mbili zote zinafanya kazi vizuri, hawezi kushughulika na reli yoyote tena kwa upande wa Tanzania, Sana sana anakarabati MGR hadi Malaba kuunganisha na Mombasa ili awe na alternative port. Kipaumbele cha Uganda kwa sasa ni bomba la gesi toka Tanzania ili akavune chuma chake.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
na hata Tanzania ikiamua kujenga then i-target a gold rush Western Uganda as it will put itself at the center of tapping both Kampala and Uganda's oil rich Western region. from keza where Kahama-Keza-Kampala is to be built the distance to Mtukula is reasonable short in comparison to Tanga-Arusha-Musoma!

There is already a feasibiliy study on this route underway!
19885_tn_africa-dikkm-railway-map_03.jpg




EACOP_map_v2.jpg
 
Yeah hata mimi naona Dar-Arusha via Tanga iwe jointed /welded...ili speed ifike hata 80km/hr plus good trains hapo toursim itazidi kuwa improved..
Mzigo itafika chap...na pia wanweza fikira kujoin na Dodoma...au Singida iwe kama ring ..flani..

Bei ya ku revamp dar-isaka 970km ilikuwa 300mil usd hii haitazidi 100$mil pamoja na vichwa na mabehewa mapya
Wasisahau kuelectrify pia.
Wazo langu speed kwa abiria iwe 100km/hr.
Wajenge Station nzuri mbona Poa tu.
Wakiunga dodoma itarahisisha usafiri wa mikoa ya ziwa, magharibi na kaskazini
 
Wasisahau kuelectrify pia.
Wazo langu speed kwa abiria iwe 100km/hr.
Wajenge Station nzuri mbona Poa tu.
Wakiunga dodoma itarahisisha usafiri wa mikoa ya ziwa, magharibi na kaskazini
Wapige SGR tu, wengine tunapenda sana adventure sema umbali wa safari ndio unatulet down haswa pale tunapotakiwa kuwahi, maswala ya kwenda kwa ndege yanachosha sana
 
Wasisahau kuelectrify pia.
Wazo langu speed kwa abiria iwe 100km/hr.
Wajenge Station nzuri mbona Poa tu.
Wakiunga dodoma itarahisisha usafiri wa mikoa ya ziwa, magharibi na kaskazini
Yeah waki electrify itakuwa nzuri zaidi kwa uchumi wetu kupunguza ku import oil..na kweli tuna Jnhpp ..electrification itakuwa muhimu ..wakiweka hyo ring ya Arusha -Singida/Makutupora au hata dodoma...itasaidia kushika SGR to Mwanza ,Tabora na hta Kigali..usafiri utakuwa umekuwa rahisi...kuboresha reli naona ni rahisi zaidi ..
 
Wapige SGR tu, wengine tunapenda sana adventure sema umbali wa safari ndio unatulet down haswa pale tunapotakiwa kuwahi, maswala ya kwenda kwa ndege yanachosha sana
Kabisa Mkuu. Hata hivyo serikali imeshafanya upembuzi wa mradi ambao ni wa Standard Gauge! Na Nina uhakika itakuwa electrified. Usafiri utakuwa cheap compared to flying. Na hizo landscapes along the railway sio za kukosa.
 
Kabisa Mkuu. Hata hivyo serikali imeshafanya upembuzi wa mradi ambao ni wa Standard Gauge! Na Nina uhakika itakuwa electrified. Usafiri utakuwa cheap compared to flying. Na hizo landscapes along the railway sio za kukosa.
Haswaa
 
Back
Top Bottom