Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

iishe kwanza SGR central corridor, SGR kigali-Isaka, SGR Kigoma-Gitega na SGR Mtwara-Mbaambabay!
Mtwara-bambabay itajengwa kwa PPP mean GOT haitogharamika Sana .
Musoma -arusha-tanga nayo imepangwa kujengwa through PPP..
Got in coming 5 years inakomaa tu na central basi labda na commuter kwa dar na Dom kama hawatatumia ubia maana hizo sijui..
Sasa Geza zinaingilianaje hapo ?
Kupitia Musoma na ziwani kwenda uganda ni shortest root kuliko hata Mombasa na kuuunganisha sgr central ni longest sema kwa modern SGR time itapunguza hicho kitu na ujue mizigo ya uganda 90% haipiti tz bado unazani kuuunganisha central line nao itabeba mizigo yao yote ?

Swali halikujikita kwenye nini kitekelezwe au kina tekelezwa lilijikita kwenye kuuliza output ya sgr ya Musoma to Tanga kama njia bikra kabisa na nyepesi kuliko zote atakazokuwa nazo uganda!!
 
Mtwara-bambabay itajengwa kwa PPP mean GOT haitogharamika Sana .
Musoma -arusha-tanga nayo imepangwa kujengwa through PPP..
Got in coming 5 years inakomaa tu na central basi labda na commuter kwa dar na Dom kama hawatatumia ubia maana hizo sijui..
Sasa Geza zinaingilianaje hapo ?
Kupitia Musoma na ziwani kwenda uganda ni shortest root kuliko hata Mombasa na kuuunganisha sgr central ni longest sema kwa modern SGR time itapunguza hicho kitu na ujue mizigo ya uganda 90% haipiti tz bado unazani kuuunganisha central line nao itabeba mizigo yao yote ?

Swali halikujikita kwenye nini kitekelezwe au kina tekelezwa lilijikita kwenye kuuliza output ya sgr ya Musoma to Tanga kama njia bikra kabisa na nyepesi kuliko zote atakazokuwa nazo uganda!!
Funds r not there n the plan so far ni central corridor! Wacha mhemko huko tumieni MGR kwanza!
 
Mtwara-bambabay itajengwa kwa PPP mean GOT haitogharamika Sana .
Musoma -arusha-tanga nayo imepangwa kujengwa through PPP..
Got in coming 5 years inakomaa tu na central basi labda na commuter kwa dar na Dom kama hawatatumia ubia maana hizo sijui..
Sasa Geza zinaingilianaje hapo ?
Kupitia Musoma na ziwani kwenda uganda ni shortest root kuliko hata Mombasa na kuuunganisha sgr central ni longest sema kwa modern SGR time itapunguza hicho kitu na ujue mizigo ya uganda 90% haipiti tz bado unazani kuuunganisha central line nao itabeba mizigo yao yote ?

Swali halikujikita kwenye nini kitekelezwe au kina tekelezwa lilijikita kwenye kuuliza output ya sgr ya Musoma to Tanga kama njia bikra kabisa na nyepesi kuliko zote atakazokuwa nazo uganda!!

SGR ya Tanga-Arusha-Mara itaifungua sana bandari ya Tanga kwa nchi za Ug, S.Sudan, Rwanda na Burundi.. pia itafungua utalii zaidi kwa nothern circuit.i.e Kilimanjaro, Arusha na Serengeti.
 
Ukiachana Uganda kuuunganisha sgr ya kisasa na Tanzania
Kuna Tanga Arusha Musoma Sgr nazani hii itakuwa root bora zaidi kwa uganda kupitia ziwani au mnaonaje hiyo?
Tunapiga kote kote
Kwa mimi ninavyoona

Maybe after 10 years or even 20..the ecomomy of Uganda even Tanzania ni ndogo ku return profit na hizo SGR mbili...SGR ya Dar -Mwanza via Lake to UG au hata kuunganisha kwa Kagera is feasible for now na hata miaka 50-100 ijayo...
Tanga-Musoma ..inahitaji kuwa na demand kubwa kwanza kwa Tz kama Tz kabla ya kufikiria UG...

Naona central corridor..ikiisha na kuunga kwa Kigali na Bujumbura ..hii SGR itaanza kuleta faida za maana...plus kuunga kwa DRC itakuwa muhimu..

Mbamba bay- Mtwara na yenyewe ni feasible cause ya Madini ya Chuma ya Liganga na Coal ya Mchuchuma ...kama vitaungwa na Pia na Malawi kwa kiasi chake ...ita stimulate pia mazao ya Korosho kusafirishwa na viwanda ukanda huo

Tanga should use reli iliyopo sasa..labda cha maana iwe jointed kama Dar -Isaka..iwe revamped..kufikia speed ya 70-80km/hr k..kipande cha Dar-Tanga to Arusha hii itasaidia usafir nothrern zone ..pia mzigo na utalii kabla ya ku over spend kwa SGR hta kama ni PPP
 
SGR ya Tanga-Arusha-Mara itaifungua sana bandari ya Tanga kwa nchi za Ug, S.Sudan, Rwanda na Burundi.. pia itafungua utalii zaidi kwa nothern circuit.i.e Kilimanjaro, Arusha na Serengeti.
Vuteni subra kwanza muache papara! hata Dar-Mwanza haijaisha tayari mshaanzisha argument nyingine!
 
SGR ya Tanga-Arusha-Mara itaifungua sana bandari ya Tanga kwa nchi za Ug, S.Sudan, Rwanda na Burundi.. pia itafungua utalii zaidi kwa nothern circuit.i.e Kilimanjaro, Arusha na Serengeti.
Kwa maoni yangu Tanga, Arusha hadi Mara ibaki hii MGR ila waiboreshe kama walivyofanya ya Central Corridor, iwe Continues welded na wanunue trains za kisasa sana, labda wanaweza kuiwekea umeme. Sioni faida kwa route hiyo kuwa na reli mbili Parallel kwasaba sehemu kubwa ni matumizi ya ndani ya nchi, Uganda watahudumiwa vizuri tu na Central Corridor.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa maoni yangu Tanga, Arusha hadi Mara ibaki hii MGR ila waiboreshe kama walivyofanya ya Central Corridor, iwe Continues welded na wanunue trains za kisasa sana, labda wanaweza kuiwekea umeme. Sioni faida kwa route hiyo kuwa na reli mbili Parallel kwasaba sehemu kubwa ni matumizi ya ndani ya nchi, Uganda watahudumiwa vizuri tu na Central Corridor.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Yeah hata mimi naona Dar-Arusha via Tanga iwe jointed /welded...ili speed ifike hata 80km/hr plus good trains hapo toursim itazidi kuwa improved..
Mzigo itafika chap...na pia wanweza fikira kujoin na Dodoma...au Singida iwe kama ring ..flani..

Bei ya ku revamp dar-isaka 970km ilikuwa 300mil usd hii haitazidi 100$mil pamoja na vichwa na mabehewa mapya
 
Kwa maoni yangu Tanga, Arusha hadi Mara ibaki hii MGR ila waiboreshe kama walivyofanya ya Central Corridor, iwe Continues welded na wanunue trains za kisasa sana, labda wanaweza kuiwekea umeme. Sioni faida kwa route hiyo kuwa na reli mbili Parallel kwasaba sehemu kubwa ni matumizi ya ndani ya nchi, Uganda watahudumiwa vizuri tu na Central Corridor.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Mkuu, hayo nimetoa maoni tu mkuu kwa hiyo route, ni kitu kinaweza kufanyika baadae baada ya kumaliza central corridor. Pia kwa kuzingatia shughuli katika bandari ya DSM zitaongezeka sana baada ya SGR kukamilika maana itahudumia nchi nyingi. Hivyo bandari ya Tanga itabidi ku step up kusaidia kupunguza operations za DSM.

Vuteni subra kwanza muache papara! hata Dar-Mwanza haijaisha tayari mshaanzisha argument nyingine!
 
hebu tufurahi kidogo[emoji3][emoji3][emoji3]

IMG_20200914_132943.jpg
IMG_20200914_133009.jpg
 
Kwa mimi ninavyoona

Maybe after 10 years or even 20..the ecomomy of Uganda even Tanzania ni ndogo ku return profit na hizo SGR mbili...SGR ya Dar -Mwanza via Lake to UG au hata kuunganisha kwa Kagera is feasible for now na hata miaka 50-100 ijayo...
Tanga-Musoma ..inahitaji kuwa na demand kubwa kwanza kwa Tz kama Tz kabla ya kufikiria UG...

Naona central corridor..ikiisha na kuunga kwa Kigali na Bujumbura ..hii SGR itaanza kuleta faida za maana...plus kuunga kwa DRC itakuwa muhimu..

Mbamba bay- Mtwara na yenyewe ni feasible cause ya Madini ya Chuma ya Liganga na Coal ya Mchuchuma ...kama vitaungwa na Pia na Malawi kwa kiasi chake ...ita stimulate pia mazao ya Korosho kusafirishwa na viwanda ukanda huo

Tanga should use reli iliyopo sasa..labda cha maana iwe jointed kama Dar -Isaka..iwe revamped..kufikia speed ya 70-80km/hr k..kipande cha Dar-Tanga to Arusha hii itasaidia usafir nothrern zone ..pia mzigo na utalii kabla ya ku over spend kwa SGR hta kama ni PPP
hawawezi kukubalia watu wanakurupuka tu na kuja na scenario zao! hata kama watajenga SGR toka Tanga kujoin central corridor na Tanga port via Ruvu can make a more fast impact compared to isolated Tanga-Arusha-Musoma!
 
Gwajima katumwa nini kuikosesha CCM jimbo la Kawe? mbona asianze kwanza na waumini wake kuwapeleka US?
[emoji3][emoji3][emoji3] daah !!! utani mwingi,,,,,

watu wanataka sera za maendeleo ya ndani ya nchi yeye analeta story za kupaa marekani
 
Gwajima katumwa nini kuikosesha CCM jimbo la Kawe? mbona asianze kwanza na waumini wake kuwapeleka US?
Mimi simpendi Halima mdee kutokana na fujo zake na tabia yake ya kujifanya mjuaji na kutokuwa na hekima za uongozi, ila kwa Gwajima, ni bora tu apite Mdee.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom