Alafu wanawaacha wananchi wao bila chakula😃😃wanaiba pesa za loan hawa watu wamelaaniwa 😂😂 alaf wanakimbiza ulaya kuziweka
Hao ni wale waliojielimisha kuhusu Afrika na kutambua nchi gani zina uafrika halisi. Wanaelewa vyema mifumo ya kibaguzi na kinyonyaji nchini mwao. Hawawezi kwenda kuishi nchi kama Kenya, Afrika kusini au Nigeria kwa kuwa huko kuna mifumo kama ile ya kwao.Hii kitu imeshika kasi sana, black Americans wanarudi Afrika kwa wingi sana, wamechagua nchi 3, Ghana, Gambia na Tanzania
iko jijini mwanza itakua ni moja ya stendi kubwa sana na ya kisasa sana tanzania na africa masharikiHii stendi mbona sijawahi kuiskia,anayeijua anijuze kwa undani wadau!
Stw
safi sana kila mkoa tunanyoosha
Hii stendi mbona sijawahi kuiskia,anayeijua anijuze kwa undani wadau!
Iko ilemela mza itareplace stendi ya buzuruga
daaaah kumechakaa sana aiseeohh sisi nairobi tuna bara bara [emoji23][emoji23] vitu kwa ground [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1565563View attachment 1565564View attachment 1565565View attachment 1565566View attachment 1565567View attachment 1565568
hatari sana.....iko jijini mwanza itakua ni moja ya stendi kubwa sana na ya kisasa sana tanzania na africa mashariki
itakua na bus terminal
itakua na lorry parking stage
itakua na hostel kwa ajili ya lorry drivers
itakua na cargo terminal
itakua na shopping building
itakua na garage building
another loan baby😂😂👇👇👇
kinachowauma mikopi inaenda kwenye matumbo ya watu😂😂😂Hawa jamaa wanafikiria World Bank isipokopesha itajiendesha vipi?
si huwa hujitamba ati wezi wao "tribal kingpins" huwekeza Kunyaland wanalia nini sasas?kinachowauma mikopi inaenda kwenye matumbo ya watu😂😂😂
In addition to soon to be built Mwanza SGR station n PAX terminal at Mwanza international airport!iko jijini mwanza itakua ni moja ya stendi kubwa sana na ya kisasa sana tanzania na africa mashariki
itakua na bus terminal
itakua na lorry parking stage
itakua na hostel kwa ajili ya lorry drivers
itakua na cargo terminal
itakua na shopping building
itakua na garage building
na bado imeishia machakani 😂😂😂👇👇