Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angalia unavyotangaza biashara humu unasema nikupanguse nini? Unazani wanaume wote huwa wanawapakua wanawake au co, hebu nitolee ujinga wako hapa usitake kunipeleka motoni mie, icho kikalio chako nenda kawatangazie wengine humu Jf wapo wanaojua kushika shika watu matako sio mm
Anafikiri watu wote ni mafirauni..akwende zake na u Gomora wake huko.
 
kwanza naona kama wanachelewa kuujenga wafanye chap kwa kweli
Hii kitu km ndo yenyewe basi co mchezo mzee na hapo asipewe mchina ni wajanja wajanja sn wale usipokuwa makini atafanya yale yale ya Mkapa stadium.
tapatalk_1599511056243.jpeg
 
Hii kitu km ndo yenyewe basi co mchezo mzee na hapo asipewe mchina ni wajanja wajanja sn wale usipokuwa makini atafanya yale yale ya Mkapa stadium.View attachment 1562403
Nimependa transparent fabric ya paa lake pia roof orifice space. Ule wa mwanzo roof looked heavy yaani with many steel structures meaning tensile strength yake itahitaji many pillars to support the structure!?

D1oVEeTX4AEIByx.jpg:large
 
Back
Top Bottom