Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dodoma sasa siitakua bomba Balaa

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Na Ukiangalia reli za mjini wanaanza hapo Dom,
Pia kuna kuleta maji ya ziwa victoria singida mpaka Dom.
Uwanja wa mpira.
Ring road mbili, inner and outer.
Airport.
Halafu nasikia wizara zitaanza kujenga highrises.
Tuombe uzima 2025 Dodoma will be a very nice city to live in tanzania.
 
hili gari la kulia, kumbe juu ina solar
IMG_1599413695.401502.jpg
 
Tatizo lako Geza ulole wakati fulani unapenda kuzungumza vitu toka kichwani mwako bila ushahidi wala uhakika wowote ule, mkurugenzi mkuu wa ATCL alishatoa maelezo kuhusu route ya Nairobi, wewe haya unayosema yametoka wapi?

Hivi unajua sheria na taratibu zinazotumika wakati wa kuingia makubaliano ya kuruhusu ndege za nchi fulani kutumia anga na viwanja vya ndege vya nchi nyingine?, sheria inasema lazima kuwe na usawa, kama ndege za Kanya ziliruhusiwa kuja TZ, basi ni lazima ndege za Tanzania kuruhusiwa kwenda Kenya, lakini hiyo haina maana kwamba hakuna kuomba kibali, lazima nchi iombe kibali

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Sasa TCAA DG Hamza aliposema on basis of reciprocity they have also cancelled the flights from Kenya alimaanisha nini? Man this thing is more than one sees with naked eyes! U talk of BASA as pronciple argument but there r things like route lot allocation n landing permit need to be sorted out!
 
Lets..see i hope wataacha na phase 5 inajemgwa
Ukisoma ilani vizuri brt phase 5 ni mwaikibaki inayopanuliwa anytime soon 9.1km nazani watacha ikianza jengwa Ila phase 2,3,4 hizo kabla ya 2024 zinaweza kuwa Zina operate Maana tender ambayo bado hapo n phase 4 tu na mwakani kwenye 2021/22 kabla first quarter haijaisha watakuwa washatangaza nazani if all go well
 
Back
Top Bottom