joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Sasa TCAA DG Hamza aliposema on basis of reciprocity they have also cancelled the flights from Kenya alimaanisha nini? Man this thing is more than one sees with naked eyes! U talk of BASA as pronciple argument but there r things like route lot allocation n landing permit need to be sorted out!
Hili jambo halina tofauti kabisa na lile lililosababisha mkuu wa mkoa wa Tanga kuzui malori ya Kenya kuingia Tanzania.
Kilichosababisha sisi kuzua ndege za Kanya ni kitendo cha Kenya kutoa orodha ya zile nchi 11 ambazo ndege zao ziliruhusiwa kutua Kenya bila kuijumuisha Tanzania, hiyo haina maana kwamba Kenya imezifutia/ zimezuia ndege za nchi zote duniani isipokua zile 11 tu.
Kumbuka kwamba kabla ya Kenya kutaja ile orodha ya Kwanza, wiki mbili nyuma waliomba kuanza safari kuja Tanzania na wakakubaliwa, kama kweli ATCL wamekatazwa kwenda Kenya zaidi ya miaka miwili sasa, kwanini walipoomba kuanza Safari za Tanzania kuanzia August waliruhusiwa?,.
Hivi kweli ATCL ikataliwe kibali cha kwenda Kenya kwa zaidi ya miaka miwili na bado Magufuli aendelee kuruhusu KQ kuja Tanzania muda wote huo?


, Inaonekana humjui vizuri Magufuli wewe.Ukitaka kujua kwamba hili linahusiana na hii orodha ya Kenya na sio kuhusu ATCL, ona jinsi Tanzania tunavyojibu mapigo, walupitoa orodha ya kwanza, tulizuia KQ pekee, walipotoa orodha ya pili tukazuia mashirika ya Kenya yaliyobaki.

