Usiamini ktk hilo ndugu, tm zetu hz cvyo km mnavyozifikiria, unasema ipo mbali sn kwa Yanga unamaanisha nini kwamba tayari ina stadium?.
Au imechukua kombe la Afrika? Au unamaanisha mbali kvp mana cjakuelewa kabisa mkuu na napata tabu kuelewa hii mentality mana mashabiki wengi wameikalili hii, wamechanganywa na treble ya ligi kuu wakasahau kwamba hata Yanga imefanya hivyo juzi tu hapa, hz tm zetu ndivyo zilivyo mwaka huu huyu baadaye huyu pia kutegemea na uongozi uliopo pale tff but usijiongopee kabisa kwamba simba imeizd Yanga yn usiote kabisa mkuu, haipo hyo na haitakuja kutokea hz tm zizidiane kiivyo.
Hii ilitokea hata kipindi kile Yanga ina treble tulikuwa tunasema hivyo hivyo kwamba Yanga imeiacha mbali sn Simba but ukweli haukuwa hivyo miaka michache iliyofuata ndio hv tunavyoona ss, so msijiongopee kabisa ndg na km huamini subiri mwaka huu muone, japo kuna hujuma zitakazoendelea kutokana na uongozi pale tff but mpira utaonekana uwanjani tuombe uhai.