Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inauma itabidi wazoeee
Screenshot_20200904-064210.png
 
Yaani Mungu huwa anatuepusha na mengi,mojawapo ni hili,yaani ingekuwa tunabaguana kwa ukabila Kama Hawa wajinga.
Katika kitu cha msingi ambacho Baba wa Taifa alifanya ni kutuunganisha na kuondoa Ukabila,kama umewahi kutembelea nchi nyingine za Africa utaona utofauti mkubwa tuliokuwa nao....hebu angalia tunavoshangilia mpira bila bugdha,hebu fikiri vijiwe vyetu vile vya kahawa unaingia bila kubisha hodi,,hebu fikiria Siasa zetu tulivyo hatupigani,hebu fikiri ukisafiri ndani ya Tanzania unavopokelewa kwa ukarimu,ukipanda daladala watu wanavosemezana hata km hawajuani,Sifa na utukufu ni Kwa Mungu Mkuu.Tanzania inapendeza.
 
Back
Top Bottom