Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
huyu jamaa atakuwa alipewa show .matata kutoka kwa mrembo.....Tanzania tunasifika sana, watanzania tu natakiwa kutembea kifua mbele sababu ya kuishi kwenye nchi yenye lowest cost of living na watoto wakali
Nimekutana na waafrika kutoka mataifa tofauti na wengi wamekuwa wakisifia Tanzania kwenye mambo mengi lakini pamoja na haya.
ni balaa mkuu

