komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Leo wamekufa wangapiKwani mkifa kwa njaa Chakula anawaletea nani?
Leo wamekufa wangapiKwani mkifa kwa njaa Chakula anawaletea nani?
Hahaha!!kwhyo km madeni yamejeuzwa shares imekuaje tena mnaimba madeniBank ambazo ndio zilikua zinawakopesha zililazimishwa kugeuza loans kuwa shares, sasa hivi hazikopeshi tena, kutokana na kutengeneza hasara kila mwaka, Hakuna mtu wala Bank yoyote iliyopo tayari kuikopesha KQ, ndio sababu wakataka kuirudisha serikalini ili ipangiwe bajeti na serikali, bahati mbaya serikali yenyewe haiwezi kulipa madeni yake, inadaiwa kuliko hiyo KQ, patamu hapo.


Tumia akili tunachosema ni kwamba KQ haina pesa ya kulipia hizo ndege 17 ambazo bado wanazilipia kwa sababu Bank zilizokua zinakopesha zimelazimishwa kuchukua shares na KQ inaendelea kupata hasaraHahaha!!kwhyo km madeni yamejeuzwa shares imekuaje tena mnaimba madeni
Jamani hivi nyinyi mnajielewa kweli, tatizo mnadandia ripoti ambazo hamjui vyanzo vyake
20Leo wamekufa wangapi
na chakushangaza foreigners ndio wengi katika hao 21😂😂😂Billion 21 ya Tzs..unalia watu 2000 $900 kwa miezi kumi
kama anakubali kufukuliwa chemba anione 😂😂😂😂😂Mkuu ichoboy chukua mtoto huyo anakuelewa sn huyu manzi![]()
anajitia uchizi wa lazima😂😂😂Tumia akili tunachosema ni kwamba KQ haina pesa ya kulipia hizo ndege 17 ambazo bado wanazilipia kwa sababu Bank zilizokua zinakopesha zimelazimishwa kuchukua shares na KQ inaendelea kupata hasara
Omba Mungu kesho wafe mia kw njaa
Hzo ndege 17 tulikopa wapiTumia akili tunachosema ni kwamba KQ haina pesa ya kulipia hizo ndege 17 ambazo bado wanazilipia kwa sababu Bank zilizokua zinakopesha zimelazimishwa kuchukua shares na KQ inaendelea kupata hasara
Mtoto wa Mombasa huyo yaliyomo yamo mbn, apo ww tu Mkuukama anakubali kufukuliwa chemba anione![]()


Work on Kenyatta Drive Connecting to Selander Bridge.
View attachment 1555597
View attachment 1555598
View attachment 1555599
View attachment 1555600

.. sema tupo jiran na UNHCR mtaa wa sandvikkama hvo basi kazi kzi 😂😂😂Mtoto wa Mombasa huyo yaliyomo yamo mbn, apo ww tu Mkuu![]()
mitaa ya jiran yetu hii mkuu.. sema nipo jiran na UNHCR mtaa wa sandvik

wameanza kutafautiana na mabwana zao😂👇