Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapi ripoti ya hzo ndege 20, tulikopa wapi msomijibu kisomi basi jomba..
Hzo tatu tulikamilisha kw nani hilo deni?
unajifanya chizi fresh wakat mbuge wenu anaongelea bungeni ulikua wapi 😂😂😂 unachoshangaa ni kwann munakiliki ndege 3 miaka 50 wakat magufuli miaka minne tayar kanunua ndege 11 brand new
 
[SUB]😀😀😀[/SUB]
IMG_20200901_101247.jpg
 
unajifanya chizi fresh wakat mbuge wenu anaongelea bungeni ulikua wapi unachoshangaa ni kwann munakiliki ndege 3 miaka 50 wakat magufuli miaka minne tayar kanunua ndege 11 brand new
1+1 ni 2 ila huyo mbumbumbu atakubishia tu,

Usiwe unapoteza muda wako kubishana nae.
 
Haya ndio mawazo ya kizamani wakenya wengi waliyonayo kuhusu TZ.
View attachment 1555166
Huyo katumia sarcasm tu, hakuna Mkenya asiyeijua vzr Tz wala wasikupe tabu, zamani ndo walikuwa wanaamini wapo mbele yetu ila kwa ss wote wanajua kwamba cc ndiyo baba lao na wameshajiandaa kisaikolojia kupokea matokeo hasi ya kupitwa na Tz soon (GDP).
 
Hawa hapa Nyang'au wameanza kujipendekeza..










MY TAKE
Trick za kitoto sana...Our demands r pretty simple!
  1. No Air tanzania to Kenya's Nairobi, Mombasa, Eldoret and Kisumu no any airline from Kunyaland to be allowed to land in Tanzania!
  2. No free movement of Tanzanians in Kunyaland, no any airline from Kunyaland is to be allowed to land in Tanzania


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican,Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Hawa hapa wameanza kujipendekeza..




MY TAKE
Trick za kitoto sana...Our demands r pretty simple!
  1. No Air tanzania to Kenya's Nairobi, Mombasa, Eldoret and Kisumu no any airline from Kunyaland to be allowed to land in Tanzania!
  2. No free movement of tanzanians in Kunyaland no any airline from Kunyaland is to be allowed to land in Tanzania


nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Nakazia
 
Back
Top Bottom