Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tena mbna jamaa umemnukuu vibaya, si ndege hazileti maendeleo kweli, kwan uongo msomi?[emoji848][emoji848]
zitto yupo miaka 15 tunamjua vzr sana ndio maana hata hatuangaiki nae 😀😀😀
 
munatafuta mchawi wakat laana inawamaliza [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
mtu kaitia shirika kwenye hasara ya mabilioni analipwa na exit package ya 92m ksh[emoji23][emoji23]

Heheee!!umehama, tuletee faida za atcl[emoji23][emoji23]
 
Tena mbna jamaa umemnukuu vibaya, si ndege hazileti maendeleo kweli, kwan uongo msomi?[emoji848][emoji848]
shirika limekufa na ndege zake tatu alaf angalia mishahara ya watu inatisha 😂😂👇👇👇 alaf badae muanze kusema tanzania ni mchawi kweli??👇👇👇

 
hilo swali muulize kenyatta akujibu kwann nchi inamiaka hamsini inamiliki ndege tatu [emoji28][emoji28] ohh nye nye sisi uchumi mavi ya kenge
Povuuuuu!!!leo mbna level ya uwehu ipo chini jomba, twende kazi acha kuchechemaa
 
Povuuuuu!!!leo mbna level ya uwehu ipo chini jomba, twende kazi acha kuchechemaa
ukweli hautabadilika na bungeni lilijadiliwa watu wakashika mashavu 😂😂😂 nchi inamiliki ndege tatu hata ukikasirika
 
Umeshindwaaaaaaa[emoji382][emoji382]
labda ukane media ya kenya 😂😂👇👇
78634A9C-F6D2-4E16-9CE0-E9C52FD95EF7.jpeg
 
ukweli hautabadilika na bungeni lilijadiliwa watu wakashika mashavu [emoji23][emoji23][emoji23] nchi inamiliki ndege tatu hata ukikasirika
Hata polisi bongo waliua watu lukuki na zitto alilisema[emoji23][emoji23]
 
zitto maomi wa wapi ?? na alisomea wapi??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] leo patamu humu ndege tatu za kq zimekutoa raha
Leo unamkana zitto jamani[emoji23][emoji23]
Yule jamaa di ukipewa bastola unamua
 
Heeee!!kwhyo unaziamini media za kenya wewe?[emoji848][emoji848]
Mtego huo najua utauruka futi sita
hahahhahahaha sisi nye nye munakaa kudanganya watu 😂😂😂😂 manina kumbe ndege tatu chakavu
 
umechange topic tayar tumingia kwa police sio tena ndege tatu za kq[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tuko kw wabunge[emoji23][emoji23]
Si hku mbunge kasema na hko mbunge kasema..
Si we umeamua tuendw kiwehu jamani, au zimeanza kurudi sawa
 
hahahhahahaha sisi nye nye munakaa kudanganya watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] manina kumbe ndege tatu chakavu
Sindano kali hyooo[emoji23][emoji23]
Naona umeuruka mtego futi 20,
Narudia tena, unaziamini media za kenya?[emoji382][emoji382][emoji382]
 
mishahara ya watu 21 kq kwa mwaka ni 1.014b ksh alaf tunatafuta mchawi kweli alaf majina karibia yote wazungu foreigners😂😂😂👇👇👇👇
056A3668-4E58-4FD9-8EEF-06A3DDB34106.jpeg
 
Back
Top Bottom