Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hilo swali muulize kenyatta akujibu kwann nchi inamiaka hamsini inamiliki ndege tatu ohh nye nye sisi uchumi mavi ya kenge
Povuuuuu!!!leo mbna level ya uwehu ipo chini jomba, twende kazi acha kuchechemaa
 
Povuuuuu!!!leo mbna level ya uwehu ipo chini jomba, twende kazi acha kuchechemaa
ukweli hautabadilika na bungeni lilijadiliwa watu wakashika mashavu 😂😂😂 nchi inamiliki ndege tatu hata ukikasirika
 
Umeshindwaaaaaaa
labda ukane media ya kenya 😂😂👇👇
78634A9C-F6D2-4E16-9CE0-E9C52FD95EF7.jpeg
 
Heeee!!kwhyo unaziamini media za kenya wewe?
Mtego huo najua utauruka futi sita
hahahhahahaha sisi nye nye munakaa kudanganya watu 😂😂😂😂 manina kumbe ndege tatu chakavu
 
mishahara ya watu 21 kq kwa mwaka ni 1.014b ksh alaf tunatafuta mchawi kweli alaf majina karibia yote wazungu foreigners😂😂😂👇👇👇👇
056A3668-4E58-4FD9-8EEF-06A3DDB34106.jpeg
 
Back
Top Bottom