komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Km vile zitto alivyoongea bungeni polisi wameua watu lukuki sijui mkoa gani mkaamua kumsweka ndani[emoji23][emoji23][emoji23]unajifanya chizi fresh wakat mbuge wenu anaongelea bungeni ulikua wapi [emoji23][emoji23][emoji23] unachoshangaa ni kwann munakiliki ndege 3 miaka 50 wakat magufuli miaka minne tayar kanunua ndege 11 brand new
Huku mbunge akiwa bungeni ana uhuru wa kuongea chochote na bila ya kupelekwa popote pale