President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Picha kama hizi zinawatesa sana wakenya
naitafuta Sana hii ramani aise!
Kwa tuliosafiri na hii reli, makutupora mpaka unafika tabora then isaka ni tambarare tu, eneo korofi kidogo ni blonde la ufa napo sio kihivyo.
Hata Isaka to Mwanza, hakuna eneo korofi. Ni mwendo wa kukimbia tu.Kwa tuliosafiri na hii reli, makutupora mpaka unafika tabora then isaka ni tambarare tu, eneo korofi kidogo ni blonde la ufa napo sio kihivyo.
Umbali wa tabora to isaka ni 130km ni mfupi sana,
Makutupora tu isaka ni pafupi kuliko moro tu makutupora, nahisi hizi phase mbili zilizobaki inaweza kuwa tender moja.
hapo kuna daraja na mereji bila shaka vilibomnolewa vinajengwa upyaHii picha amepost wanjala imenstua kdg kwn kuna ujenzi unaendelea hapa, je ni ujenzi gn ukiacha hiyo interchange wajuzi mnisaidie hapaView attachment 1545900
Nafikiri hata tbr to kigoma inaweza kuwa ni phase 1. Tukiendelea hivi ujenzi wake Unaweza anza 2023. Bwawa la umeme likiisha kama ilivyopangwa June 2022, nahisi serikali itaongeza kasi ya ujenzi wa reli.Hata Isaka to Mwanza, hakuna eneo korofi. Ni mwendo wa kukimbia tu.