babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Nchi zilizotuzunguka zenye kambi za wakimbizi ziko hatarini kukabiliwa na njaa kasoro wakimbizi walioko Tanzania.unajifurahisha tu mzee.....
kama tuna janga la chakula kwanini wasituletee misaada kama mlivyoletewa huko kenya....?
WFP: Mamilioni ya wakimbizi wapo hatarini kukumbwa na njaa ukanda wa Afrika Mashariki






