Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ichoboy wacha kujichosha hyo hbr ya poverty iko wazi wala ucjisumbue mana ww hujawahi hata cku moja kuletewa msaada wa chakula so wachana na hyo mada mkuu tafadhali mkuu.
hahaha yani hawa jamaa wanapenda kujipa matumaini kwnye hakuna nchi imewafia mikononi sasa wanamtafuta mchawi😂😂
 
Do you know why I usually call you a baboon? Is because of the way you reason. Were talking about slum dwellers an wewe unakuja hapa ujinga zako. World Bank states very clearly that both Kenya and Tanzania has 50% of their population living in slums.
No slums in Tz
 
Show us how much money per each project under LAPSET is under way apart from Lamu Port which it's value so far is only $500M release by GoK?.

Hivi mnajua jinsi mlivyomasikini?
1)Green field terminal
2)Galana Kulalu irrigation project
3)Laptop per Child
4)Five modern stadia
5)BRT/Light commuter trains
6)Crude oil pipeline

Yote hii miradi ilishindikana kwa kukosa pesa, eti mnajenga miradi ya $25M. Ninyi Hamna uwezo hata kujenga mradi wa $1B, kama kuna mradi wowote nchi yenu imetoa $1B leta ushahidi tuone.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Nchi zilizotuzunguka zenye kambi za wakimbizi ziko hatarini kukabiliwa na njaa kasoro wakimbizi walioko Tanzania.

WFP: Mamilioni ya wakimbizi wapo hatarini kukumbwa na njaa ukanda wa Afrika Mashariki
Kambi za Tanzania mpaka War torn areas Kama S. Sudani Mahindi na ubwabwa unaenda kwa wingi.. usiseme Burundi, Rwanda, Uganda na Congo...
Malawi, Mozambique na Zambia.. Comoro na Kenya wanaonja Utamu wa Tz

Halafu FAO Anasema haya wakati UNHCR and friends wanachukua Mahindi Dodoma kupeleka Nduta kila siku na mengine mengi kupeleka mpaka S.Sudani

Na wapo watoto wanashangilia.. wakati kitunguu tumekibakiza hapo Ruaha Mbuyuni sasa hivi wanaumana huko.. sukuma wiki haiungwi na githeri inachemshwa tu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Show us how much money per each project under LAPSET is under way apart from Lamu Port which it's value so far is only $500M release by GoK?.

Hivi mnajua jinsi mlivyomasikini?
1)Green field terminal
2)Galana Kulalu irrigation project
3)Laptop per Child
4)Five modern stadia
5)BRT/Light commuter trains
6)Crude oil pipeline

Yote hii miradi ilishindikana kwa kukosa pesa, eti mnajenga miradi ya $25M. Ninyi Hamna uwezo hata kujenga mradi wa $1B, kama kuna mradi wowote nchi yenu imetoa $1B leta ushahidi tuone.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Half of Uhuru's projects have stalled
 
No slums in Tz
TZ 👇
IMG_20180806_130910_867.jpg
IMG_20180806_130948_976.jpg
IMG_20180806_130931_590.jpg


Kibera 👇👀
IMG_20200818_131603.jpg
 
Kambi za Tanzania mpaka War torn areas Kama S. Sudani Mahindi na ubwabwa unaenda kwa wingi.. usiseme Burundi, Rwanda, Uganda na Congo...
Malawi, Mozambique na Zambia.. Comoro na Kenya wanaonja Utamu wa Tz

Halafu FAO Anasema haya wakati UNHCR and friends wanachukua Mahindi Dodoma kupeleka Nduta kila siku na mengine mengi kupeleka mpaka S.Sudani

Na wapo watoto wanashangilia.. wakati kitunguu tumekibakiza hapo Ruaha Mbuyuni sasa hivi wanaumana huko.. sukuma wiki haiungwi na githeri inachemshwa tu.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Uzuri hiyo ramani anayorudia rudia kupost haileti njaa Tanzania wala kupunguza njaa kunyaland
 
The last time I checked both Tanzania and Kenya had an equal proportions of people living in slums according to WB.
Kumbuka Tanzania ina population kubwa kuliko kenya kama idadi sawa percentage wise kenya mko chini . Haaaaaaaa bahati mbaya Tanzania hamna slum
 
Back
Top Bottom