Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna reli mpya inajengwa yenye urefu wa km 126 kutoka Mpanda mpaka Karema (pembezoni mwa ziwa Tanganyika). Hii inaenda sambamba na ujenzi wa bandari mpya ya Karema, ili kurahisisha mizigo inayoenda DRC na nchi za SADC ipitie bandari ya Dar, haraka (chini ya siku mbili).

Tuta la reli litakuwa la upana wa SGR ila wataweka MGR kwa muda. SGR itakapofika upande huo watang'oa MGR na kuweka SGR (na kuweka nyaya za umeme, of course 😉)

 
haya sasa,,,,,manyang'au yakikenya mme wenu kawapa ruksa
IMG_20200821_235647.jpg
 
Kuna reli mpya inajengwa yenye urefu wa km 126 kutoka Mpanda mpaka Karema (pembezoni mwa ziwa Tanganyika). Hii inaenda sambamba na ujenzi wa bandari mpya ya Karema, ili kurahisisha mizigo inayoenda DRC na nchi za SADC ipitie bandari ya Dar, haraka (chini ya siku mbili).

Tuta la reli litakuwa la upana wa SGR ila wataweka MGR kwa muda. SGR itakapofika upande huo watang'oa MGR na kuweka SGR (na kuweka nyaya za umeme, of course 😉)

Me nakwambia tuombe uhai tu lkn hii miradi yetu ikiisha wallahi hakuna nchi itatukaribia kwa vyovyote vile, unajua nchi yetu imekaa sehemu ya kimkakati inazungukwa na nchi karibia 8 na asilimia kubwa ya hzo nchi ni landlocked so zinatutegemea mno ni kutokuona mbali tu ndo kulituchelewesha kuling'amua hili mapema au niseme ni uroho tu wa viongozi kushindwa kufanya haya mapema, nchi hii ilihitaji nguvu kdg tu kuweza kujitegemea.
 
Back
Top Bottom